Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Wanajamii, nadhani kila mtu anaendelea vizuri na mihangaiko ya kuliletea taifa letu maendeleo.
Nimekuwa nikifuatilia hii forum kwa muda mrefu sana, na kwa kweli nimenufaika sana na michango toka kwenu wanajamii (mafundisho, vichekesho, n.k)
Naomba kuungana nanyi, naamini kuna mengi nitaendelea kujifunza toka kwenu kama mwanajamii.
Nimekuwa nikifuatilia hii forum kwa muda mrefu sana, na kwa kweli nimenufaika sana na michango toka kwenu wanajamii (mafundisho, vichekesho, n.k)
Naomba kuungana nanyi, naamini kuna mengi nitaendelea kujifunza toka kwenu kama mwanajamii.