Halmashauri zinakufa, Wabunge mko wapi

Mpaka watu wakishindwa kulipwa mishahara sirikalini ndio buku7 watatia akili.
 
Nchi ilishafilisika soon tunakuwa category 1 na Zimbabwe toka Juma ponda Mali aseme matajiri wataishi kama mashetani nimemdharau sana
Kauli za makondacta wa daladala
 
Kuna post inaendana na hii niliweka humu ikisema"wabunge walio wengi hawasikiki kuhamasisha maendeleo,nini kimewasibu". Kama alivyosema spika majuzi" bunge letu lina takriban 75% wabunge vijana,na wengi ndo mara ya kwanza kuwa wawakilishi. Hali kadhalika kada nyingi za watawala ni watu wapya kwenye utumishi! Nafikiri kuna umuhimu wa kurudisha semina elekezi kuwapa hali halisi ya kazi na nini wanapaswa kufanya jamii isonge mbele.
 
Wanatakiwa wawe wabunifu watafute vyanzo vipya vya mapato kulingana na mazingira waliopo ila chondechonde Serikali Kuu msije mkavichukua vyanzo hivi vipya watakavyovibuni hata kama vitakuwa vinaleta mapato makubwa kama ilivyokuwa kwa Kodi ya Majengo (Property Tax).
 
Jamani Mbona kwenye Post Kama Hizi Siwaoni Akina
Wakudadavuwa,Motochin
Lizabon,Yehodaya,Stroke, Jinga Lao,

Au Hawana Hoja?

Tunakokwenda ni Kubaya Kuliko Tunakotoka Hali ni Ngumu Halmashauri zina Madeni Sana.
 
Kama hamkusanyi kodi punguzeni wafanyakazi, eti rim hizo form mbona tunatoa photocopy wenyewe? Mumepewa ada za leseni kodi za majengo, bado naruzuku mpate? Hapana kabisa. Majaliwa halmashauri itakayoshindwa kujiendesha ifute.

Tunahitaji kujenga reli mpya tuokoe barabara zetu, tunahitaji kujenga viwanda vijana wapate ajira, mwingine anataka apelekewe ruzuku apate hela ya supu na kuhudumia nyumba ndogo. Eti ukata? Kuna mwezi hukulipwa mshahara?
 
Ipo haja ya kupunguza idadi ya halmashauri, mkoloni aliendesha nchi kwa mikoa minane na wilaya chini ya ishirini tena kwa kutumia 109 na moris, leo kuna barabara za lami na mavx simu za rununu, tupunguze wilaya tuokoe pesa.

Kongo wana km 1000 tu za lami nchi kubwa mara nne ya tanzania, sisi tuna elfu 28, bado mtu haoni kazi iliyofanyika pumbaf.
 
Ulisoma kabla hujapost ulichoandika? Umri wa mBUNGE unahusiana nini na Serikali Kuu kupeleka Pesa za Maendeleo kwenye Harmashauri
 

Reading 1, 2, 3, 4, 5, 6 ........
 
Huwa nawashangaa sana watu ambao wakiambiwa reality jinsi mamb yalivyo hasa yanayohusu hela wao wanabisha na kukejeli kwa misemo ya "fanyeni kazi",nachukia sana hii tabia ya watu kujitoa ufahamu na kuweka maslahi ya chama na tumbo mbele..ni muda sasa wewe unaebisha kutafakari kama kweli unachokifanya kina tija kwa wale watanzania wanaoishi mikoa mingine na hata usiowajua..usiongee kwa kufikiri kuwa tanzania ni lile enwi mnaloishi na hivyo huakisi nchi nzima...panua fikra zako na kuwafikiria wengine then ndo utajua utumbo ambao kila siku unakesha kuitetea humu!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…