Halmashauri ya jiji la Mbeya mmeshindwa kazi

Halmashauri ya jiji la Mbeya mmeshindwa kazi

Geofrey Andrew Sanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
251
Reaction score
55
Jamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
 

Attachments

  • CHOO UYOLE copy.jpg
    CHOO UYOLE copy.jpg
    175.6 KB · Views: 61
Du hii haijakaa poa mamlaka husika fuatilieni hili fasta kabla yule jamaa hajawaibukia.
 
Du hii haijakaa poa mamlaka husika fuatilieni hili fasta kabla yule jamaa hajawaibukia.
NALIJUA SANA SOKO HILI LIKO MTAA WA SOKONI MWENYEKITI MTAA NI CHADEMA DIWANI WA KATA IGAWILO CHADEMA LILIPO SOKO NA MBUNGE NA MEYA NA NAIBU WOTE CHADEMA MNAPASWA KUONYESHA MFANO ILI TUWACHAGUE NA HAPA DODOMA TUWAPE MUONGOZE POLENI ILA MBUNGE WENU SIO NDIYO SUGU ET?
 

Attachments

  • SUGU NA MAISHA YA KIFAHARI copy.jpg
    SUGU NA MAISHA YA KIFAHARI copy.jpg
    93.4 KB · Views: 70
Tatizo la Mbeya Kuna mkurugenzi kimeo yeye kazi yake ni safari kila siku na Kuuza sura kwa wakubwa,mi namfahamiu sana.
 
Jamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
Una ajenda ya siri na mr. 2 aka sugu
 
Naona magamba yameingilia kati kujifariji kwenye huu Uzi,mtoa Uzi Alikuwa na lengo zuri tu,tutalifanyia kazi hilo tatizo ni dogo tu,na lipo kwenye bajeti yetu ya halmashauri kwa mwaka huu.MBEYA NI SUGU,SUGU NI MBEYA.
 
Jamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
''Raisi'' wao Mr Sugu anakula maraha Dar
 
Jamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
nakufahamu vyema una chuki binafsi na chadema, ndio maana ukahamia act na uligombea udiwan ukapata kura 25
 
NALIJUA SANA SOKO HILI LIKO MTAA WA SOKONI MWENYEKITI MTAA NI CHADEMA DIWANI WA KATA IGAWILO CHADEMA LILIPO SOKO NA MBUNGE NA MEYA NA NAIBU WOTE CHADEMA MNAPASWA KUONYESHA MFANO ILI TUWACHAGUE NA HAPA DODOMA TUWAPE MUONGOZE POLENI ILA MBUNGE WENU SIO NDIYO SUGU ET?
ulitaka sugu aww maskini ka we?
 
nakufahamu vyema una chuki binafsi na chadema, ndio maana ukahamia act na uligombea udiwan ukapata kura 25
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kura 25 kati ya ngapi vile?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kura 25 kati ya ngapi vile?
hahaha 25 kati ya 5000+
pia baada ya kusaliti cdm mwaka 2013, mwaka 2014 aligombea uenyekt wa mtaa mwanyanje kupitia actccm na akapata kura 08 tu
 
Back
Top Bottom