Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Leo halmashuri imevunja mkataba wa kukusanya ushuru katika soko la kilombero, kati yake na kampuni ya piga deal, ni baada ya malumbano na shinikizo kubwa kutoka kwa diwani wa kata ya levolosi kwa tiketi ya chadema Mh Nanyaro, kampuni hii imeshindwa kukusanya ushuru na inadaiwa mamilion ya fedhwa na halmashauri.
Jana kulitokea malumbano makali kati ya huyu diwani akiungwa mkono na wafanyabiashara, mkurugenzi wa manispaa pamoja na mkurugenzi wa hii kampuni inayodaiwa kuwa ya watoto wa kigogo mmoja.
Jana kulitokea malumbano makali kati ya huyu diwani akiungwa mkono na wafanyabiashara, mkurugenzi wa manispaa pamoja na mkurugenzi wa hii kampuni inayodaiwa kuwa ya watoto wa kigogo mmoja.