Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

Topic hapa ni kula rushwa kwa chadema
 
Takukuru walio pewa ushahidi wa kununuliwa madiwani wakaingia mitini ndiye source ya story???stupid
 
Nani anapanga bajeti na kusimamia matumizi yake ?
Madiwani wa chadema
 
Nani anapanga bajeti na kusimamia matumizi yake ?
Madiwani wa chadema
Mpuuzi kweli kumbe! Kupanga bajeti na rushwa wapi na wapi? Nitolee ujinga kifafa hapa kwani huelewi chochote zaidi ya kuchochea ujinga tu! Takukuru na mnyeti hawapo huko?
 
Mpuuzi kweli kumbe! Kupanga bajeti na rushwa wapi na wapi? Nitolee ujinga kifafa hapa kwani huelewi chochote zaidi ya kuchochea ujinga tu! Takukuru na mnyeti hawapo huko?
Kwa hiyo hamna umuhimu wa madiwani wa chadema Arusha?
 
TATAKURU WANAFANYA KAZI YA NANI?? SASA HIVI KILA TAASISI INAJIFANYA KUEGEMEA UPANDE WA BWANA FLANI WAONEKANE, SO REPORT YAO NI RUBBISH TU
 
Bora chadema wanadili na halimashauri nyie mko pale pale jikoni mnapiga tuu nani mshenzi sasa
 


Nyie watu hamueleweki. Mmekazana sana kuwa CHADEMA imekufa. Sasa maiti inakulaje rushwa?
 
Kwa hiyo hamna umuhimu wa madiwani wa chadema Arusha?
Hao mliowanunua kutoka cdm ndio wanaowafaa zaidi kwani ni muhimu mno kwenu! Shida yako ni kuwashtakia madiwani wa cdm ukasahau kuna vyombo vya serikali tena ya ccm wanaotakiwa kudhibiti rushwa kupigwa ganzi? Basi serikali ya ccm pamoja na gambo mmefeli hapo arusha!
 
Kazi ya Lema na madiwani ni kupiga kelele tu hapo Arusha ,no action taken
 
Action ya kuwatoa uhai au? Hivi wewe mwenye akili matege hujui hata maana ya kelele? Kagongee ugali wa shikamoo kule!
Lema na madiwani wake wanakula mshahara wa bure
Ufisadi unatokea mbele ya macho yao wanashangilia tu.
 
Kuna mada zingine ukizisoma unapata picha ya mletaji ana kiwango gani cha umbumbumbu.
Sasa kama maafisa Ardhi, biashara nk, diwani ambaye sio mamlaka yake ya ajira afanyeje?
JF ya sasa kiwango kimeshuka sana below average
Huu Uzi umeletwa kiushabiki na kada wa ccm na ndiomaana imelenga kuwachafua CHADEMA hata hivo hawatofanikiwa kufikia nia yao ovu kwa CHADEMA . Haibu kwao ccm
 
Huu Uzi umeletwa kiushabiki na kada wa ccm na ndiomaana imelenga kuwachafua CHADEMA hata hivo hawatofanikiwa kufikia nia yao ovu kwa CHADEMA . Haibu kwao ccm
Kazi ya madiwani wa chadema ni nini Arusha?
 
Na mkurugenzi ni Wa Chadema
 
Hii ina mahusiano gani na topic?
Inahusiana sana! Jamaa anataka kuonesha upofu wako kwa ufisadi unaoedelea ujenzi wa standard gauge na kuona "ufisadi was CDM kwenye halmashauri ya Ar" Takukuru wamenyamaza kimya kuhusu madai ya srikali kutumia kodi za walalahoi kununua viongozi wa upinzani!
 
Kama ambavyo chadema iliwanunua,Nyalandu, Sumaye ,Lowasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…