Halimashauri ya CHADEMA Arusha imemshinda Moris Makoi ambaye ni diwani wa CCM Moshi vijijini

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Halimashauri ya CHADEMA Arusha imemshinda Moris Makoi ambaye ni diwani wa CCM Moshi vijijini,katika kesi ya choo na vyumba 27 stendi ndogo.

Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita halimashauri ilimshinda tena kwenye mahakama ya rufaa na kutakiwa kuilipa halimashauri 78mil.

Hongera madiwani wetu wa CHADEMA

Hongera wanasheria wa jiji kwa uaminifu wenu
 
Halimashauri ya Jiji la Arusha imemshinda Moris Makoi ambaye ni diwani wa CCM Moshi vijijini, katika kesi ya choo na vyumba 27 stendi ndogo.
Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita Halimashauri ilimshinda tena kwenye mahakama ya rufaa na kutakiwa kuilipa halimashauri 78mil
Hongera madiwani wetu wa CHADEMA
Hongera wanasheria wa jiji kwa uaminifu wenu
 
Kwa kuwa imeshinda CHADEMA watahaha kila kona kupongeza mahakama , siku ikitokea ameshinda Wa CCM ghafla CHADEMA watageuka na kushambulia mahakama kwamba inapendelea CCM na chini ya utawala Wa Magufuli hamna utawala Wa sheria.!!!!

Kuishi na CHADEMA yahitaji ujasiri
 
Kwa kuwa imeshinda chadema nyumbu watahaha kila kona kupongeza mahakama , siku ikitokea ameshinda Wa ccm ghafla nyumbu watageuka na kushambulia mahakama kwamba inapendelea ccm na chini ya utawala Wa Magufuli hamna utawala Wa sheria.!!!!

Kuishi na nyumbu yahitaji ujasiri
Leo hapa Arusha no nderemo na vifijo haki imeshinda...
 
Hongereni sana Makamanda wa Jijini Arusha
siyo kosa lako umeshatumia ile dawa yenu inayowapotezea network
 
Kwa kuwa imeshinda chadema nyumbu watahaha kila kona kupongeza mahakama , siku ikitokea ameshinda Wa ccm ghafla nyumbu watageuka na kushambulia mahakama kwamba inapendelea ccm na chini ya utawala Wa Magufuli hamna utawala Wa sheria.!!!!

Kuishi na nyumbu yahitaji ujasiri

Wewe nawe kama hukuwa na cha kuku-comment ungepita tu kama gari la kwenda haraka..
 
Halimashauri ya CHADEMA Arusha imemshinda Moris Makoi ambaye ni diwani wa CCM Moshi vijijini,katika kesi ya choo na vyumba 27 stendi ndogo.

Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita halimashauri ilimshinda tena kwenye mahakama ya rufaa na kutakiwa kuilipa halimashauri 78mil.

Hongera madiwani wetu wa CHADEMA

Hongera wanasheria wa jiji kwa uaminifu wenu
Sio mnapeana Hongera kwa Mambo Yasiyokuwa Na Msingi,sasa sisi wakazi wa Arusha Tunasaidiwa nn na vyoo vya Stand wakati mji hakuna huduma nzuri za maji na kata ya murieti hakuna umeme wakati ni 6km toka city center.Hatutaki sifa za kijinga.leteni maendeleo ya maana kwa wana Arusha.lasivyo 2020 Arusha yatatokea yaliyotokea Ilemela Na Nyamagana. nyie endeleeni kukariri tu.
 
Sio mnapeana Hongera kwa Mambo Yasiyokuwa Na Msingi,sasa sisi wakazi wa Arusha Tunasaidiwa nn na vyoo vya Stand wakati mji hakuna huduma nzuri za maji na kata ya murieti hakuna umeme wakati ni 6km toka city center.Hatutaki sifa za kijinga.leteni maendeleo ya maana kwa wana Arusha.lasivyo 2020 Arusha yatatokea yaliyotokea Ilemela Na Nyamagana. nyie endeleeni kukariri tu.
Umeme upo serekali kuu ndio wanaoshugulikia unaacha kusema mizuka unasema haya
 
Kwa kuwa imeshinda chadema nyumbu watahaha kila kona kupongeza mahakama , siku ikitokea ameshinda Wa ccm ghafla nyumbu watageuka na kushambulia mahakama kwamba inapendelea ccm na chini ya utawala Wa Magufuli hamna utawala Wa sheria.!!!!

Kuishi na nyumbu yahitaji ujasiri

Penye maslahi ya umma kama ushindinwa kesi hii tutasifia hata kama waopinga maendeleo ya umma na kupenda ya mtu mmoja mmoja kama ya diwani mshindwa hawataki!!!!!!!!
 
Huyu moris anapaswa kuwa makini Sana Na Uongozi wa Magufuli akipewa uenyekiti wa chama.
Kazoea vya kunyonga, kinachonisikitisha Jamaa alipewa halmashauri kuingoza ya moshi (v)wakati elimu take Ni std 7.
Kaiba ela nyingi Sana za miradi na sasa anajenga goroda kubwa pale kijijini
 
Back
Top Bottom