C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,361 Reaction score 6,441 Jul 6, 2016 #1 Wapendwa, Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi?
John Cannor JF-Expert Member Joined Jun 6, 2016 Posts 1,463 Reaction score 1,827 Jul 6, 2016 #2 Kwenye mambo yake binafisi
M mwembemdogo JF-Expert Member Joined Feb 28, 2016 Posts 2,282 Reaction score 1,253 Jul 6, 2016 #3 Ulitaka asikike vipi wakati mnataka kusema pekee yenu?
gimmy's JF-Expert Member Joined Sep 22, 2011 Posts 3,323 Reaction score 3,377 Jul 6, 2016 #4 Sio Halima Mdee tu zaidi ya 50% ya wabunge wa UKAWA wamepoteana mpaka viongozi wao.
Dont JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 233 Reaction score 198 Jul 6, 2016 #5 Lile swala la kubadili gia angani limepulizia upupu kwenye kile chama pendwa.. bado watu wanaugulia vumbi.. watakaa sawa baada ya mda..
Lile swala la kubadili gia angani limepulizia upupu kwenye kile chama pendwa.. bado watu wanaugulia vumbi.. watakaa sawa baada ya mda..
Freyzem JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 10,180 Reaction score 24,798 Jul 6, 2016 #6 Yupo bize na wananchi wake jimboni kwake, wanatatua kero mbalimbali na kushughulikia zaidi masuala ya kimaendeleo!!
Yupo bize na wananchi wake jimboni kwake, wanatatua kero mbalimbali na kushughulikia zaidi masuala ya kimaendeleo!!
navajo JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 585 Reaction score 907 Jul 6, 2016 #7 Nafikiri atakuwa amefata ushauri wa mheshimiwa prezdaa wa kurudi jimboni mwake...
Clueless14 JF-Expert Member Joined Aug 27, 2014 Posts 3,111 Reaction score 4,773 Jul 6, 2016 #8 Sera zimemwishia
R Red tea Senior Member Joined May 25, 2016 Posts 182 Reaction score 82 Jul 6, 2016 #9 gimmy's said: Sio Halima Mdee tu zaidi ya 50% ya wabunge wa UKAWA wamepoteana mpaka viongozi wao. Click to expand... Na bado watapoteana sana, safari ya miaka mitano siyo lelemama, ndo kwaaanza kunapambazuka. Zambi ya kuuza chama chetu itawatafuna tu
gimmy's said: Sio Halima Mdee tu zaidi ya 50% ya wabunge wa UKAWA wamepoteana mpaka viongozi wao. Click to expand... Na bado watapoteana sana, safari ya miaka mitano siyo lelemama, ndo kwaaanza kunapambazuka. Zambi ya kuuza chama chetu itawatafuna tu
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 Jul 6, 2016 #10 Dah tukianza kuuliza humu waliopotea ndani ya UKAWA hakika tutajaza server. Baada ya uchaguzi hakika wamepoteana sana. Magufuli kawaficha mfukoni
Dah tukianza kuuliza humu waliopotea ndani ya UKAWA hakika tutajaza server. Baada ya uchaguzi hakika wamepoteana sana. Magufuli kawaficha mfukoni
Lizaboni JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 33,901 Reaction score 20,410 Jul 6, 2016 #11 Hata Lowasa mwenyewe ameshaufyata
Democracy Tata Member Joined Mar 24, 2016 Posts 47 Reaction score 27 Jul 6, 2016 #12 Mtoa post na wewe uko wapi mbona haujulikani?
Democracy Tata Member Joined Mar 24, 2016 Posts 47 Reaction score 27 Jul 6, 2016 #13 Lizaboni said: Hata Lowasa mwenyewe ameshaufyata Click to expand... Na Yule wa Rondo mbona hasikiki? Umemficha wapi?
Lizaboni said: Hata Lowasa mwenyewe ameshaufyata Click to expand... Na Yule wa Rondo mbona hasikiki? Umemficha wapi?
RJ-White JF-Expert Member Joined Nov 25, 2014 Posts 744 Reaction score 752 Jul 6, 2016 #14 Ninaye hapa. Kwani vipi?
Sibonike JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 17,297 Reaction score 18,046 Jul 6, 2016 #15 Bila Tv live hatuwaoni.
U UDSM Alumni JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 2,555 Reaction score 1,389 Jul 6, 2016 #16 Bila kumsahau Ester lutiko
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,984 Reaction score 11,794 Jul 6, 2016 #17 CHUAKACHARA said: Wapendwa, Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi? Click to expand... Halima Mdee ni dada sio Mama.
CHUAKACHARA said: Wapendwa, Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi? Click to expand... Halima Mdee ni dada sio Mama.
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,361 Reaction score 6,441 Jul 6, 2016 Thread starter #18 Mr.Junior said: Halima Mdee ni dada sio Mama. Click to expand... Ok, noted! Hivi ukiwa na miaka 60 na hujaolewa ni Dada vile vile
Mr.Junior said: Halima Mdee ni dada sio Mama. Click to expand... Ok, noted! Hivi ukiwa na miaka 60 na hujaolewa ni Dada vile vile
S saudina JF-Expert Member Joined Feb 1, 2016 Posts 628 Reaction score 330 Jul 6, 2016 #19 CHUAKACHARA said: Wapendwa, Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi? Click to expand... Mkuu waukize watumiaji wa Shisha watakuwa wanajua
CHUAKACHARA said: Wapendwa, Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi? Click to expand... Mkuu waukize watumiaji wa Shisha watakuwa wanajua