Halima Mdee yuko wapi?

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Wapendwa,

Huyu mama yuko wapi hasikiki kabisa yuko wapi?
 
Reactions: MC7
Sio Halima Mdee tu zaidi ya 50% ya wabunge wa UKAWA wamepoteana mpaka viongozi wao.
 
Lile swala la kubadili gia angani limepulizia upupu kwenye kile chama pendwa.. bado watu wanaugulia vumbi.. watakaa sawa baada ya mda..
 
Nafikiri atakuwa amefata ushauri wa mheshimiwa prezdaa wa kurudi jimboni mwake...
 
Dah tukianza kuuliza humu waliopotea ndani ya UKAWA hakika tutajaza server. Baada ya uchaguzi hakika wamepoteana sana. Magufuli kawaficha mfukoni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…