Halima Mdee waokoe Wanawake leo!

Halima Mdee waokoe Wanawake leo!

Halima mdee hata Anna Tibaijuka anamkubali sana
 
Mbona ume-panic sana! Ni jinsia ya kike weye? Nadhani mlengwa mkubwa ni Hawa Gasia, ameshindwa kujenga hoja na kuongea utumbo. Lakini haimaanishi kuwa wanawake wote si wazuri.


Sasa alipaswa amseme huyo Hawa Gasia na SIYO kusema Wanawake kwa ujumla! Mimi ni mtu wa Haki na sipendi Watu wakionewa bila ya sababu, Wanawake ni mama zetu, dada zetu, rafiki zetu na kuna wanawake wengi tu wazuri nchi hii na wamefanya mengi kama vile kulivyo na wanaume wengi wazuri na wabaya vile vile!
 
Baada hoja ya Escrow akaunti kuwasilishwa bungeni na kamati ya PAC, wabunge wamepata nafasi ya kutoa maoni yao, Lkn kilichonisikitisha ni jinsi wachangia karibia wote kwa upande wa wanawake wameshindwa kabisa kujenga hoja na kuonyesha waliingia bungeni kwa kubwebwa. Namuomba Mhe Halima leo jioni atakapopata nafasi aonyeshe tofauti kama alivyoaminiwa na Chama chake kuongoza Bawacha

Kama kawaida yake tayari kesha onyesha uwezo wake na ameendelea kujitofautisha na wale wa UWTCCM
 
Back
Top Bottom