Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
mtamu umemwonja mkuu au mtamu kivipiNa Esther Bulaya nae mtamuuuuuuuuu!!!!
mtamu umemwonja mkuu au mtamu kivipiNa Esther Bulaya nae mtamuuuuuuuuu!!!!
mkuu hao hata wanafaa kuwa wake wenye misimamo!Hata mimi mkuu nina imani sana na hawa mabinti
Mbona ume-panic sana! Ni jinsia ya kike weye? Nadhani mlengwa mkubwa ni Hawa Gasia, ameshindwa kujenga hoja na kuongea utumbo. Lakini haimaanishi kuwa wanawake wote si wazuri.
Baada hoja ya Escrow akaunti kuwasilishwa bungeni na kamati ya PAC, wabunge wamepata nafasi ya kutoa maoni yao, Lkn kilichonisikitisha ni jinsi wachangia karibia wote kwa upande wa wanawake wameshindwa kabisa kujenga hoja na kuonyesha waliingia bungeni kwa kubwebwa. Namuomba Mhe Halima leo jioni atakapopata nafasi aonyeshe tofauti kama alivyoaminiwa na Chama chake kuongoza Bawacha