Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Halima Mdee alikuwa sero siyo jela maisha ya jela unayajua wewe, huko sero ndiyo alikula bata kutoka kwa nyampara.
Kuna wakati nakuona IQ yako iko juu sana na unafaa kwa mijadala lakini wakati mwingine (kama huu) inashuka below zero. Au ndio yale mambo ya ID ya ofisi kuwa kwa sasa anayetumia ID hii ya Ritz sio yule senior bali ni intern? Anafanya majaribio kabla ya ajira? Pse mkuu Ritz (original) ukiingia kazini tufahamishe maana kijana uliyemuachia anakufedhehesha.
Last edited by a moderator: