Tanzanite7
Member
- Dec 8, 2020
- 39
- 58
Habarini wakubwa kwa wadogo,poleni na changamoto za maisha
Wapo baadhi ya watanzania wanawaombea usiku na mchana wabunge 19 wanawake, waliojitolea kupigania haki yenu baada ya kuona jasho mlilolipigania kwa kipindi kirefu likitaka kupokonywa
Msikate tamaa katika maisha ya siasa kwa mtu yoyote mtulivu, anae zijua siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla atakuwa upande wa aki Halima na wenzake, ila kwa yule anaetumia ushabiki wa vyama atakuwa kinyume.
Ipo siku na si mda mrefu mateso manyanyaso na chuki ndani ya chama chenu mlicho kipigania kwa jasho la damu utafika mwisho na kuibuka washindi.
Kama kuna dhambi kubwa na mbaya ni kukata tamaa na kurudi nyuma, kamwe msije kuruhusu kukatisha tamaa.
Wapo baadhi ya watanzania wanawaombea usiku na mchana wabunge 19 wanawake, waliojitolea kupigania haki yenu baada ya kuona jasho mlilolipigania kwa kipindi kirefu likitaka kupokonywa
Msikate tamaa katika maisha ya siasa kwa mtu yoyote mtulivu, anae zijua siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla atakuwa upande wa aki Halima na wenzake, ila kwa yule anaetumia ushabiki wa vyama atakuwa kinyume.
Ipo siku na si mda mrefu mateso manyanyaso na chuki ndani ya chama chenu mlicho kipigania kwa jasho la damu utafika mwisho na kuibuka washindi.
Kama kuna dhambi kubwa na mbaya ni kukata tamaa na kurudi nyuma, kamwe msije kuruhusu kukatisha tamaa.