Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
CHADEMA chagueni viongozi wapya wa BAWACHA na muwatambulishe kwa akina mama wenzao ili hizi abradacadabra ziishe. Au mnawasubiri akina Halima wakate rufaa myajenge na wakamate nafasi zao?
Na kama ule mchakato wa kuteua wabunge 19 wa viti maalumu ulikuwa umeshaanza internally kabla Halima hajafanya yake (kwa maelezo ya John Mrema), mnasubiri nini kuwareplace hao 19 ‘waliojipeleka’ tena kwa kufoji sahihi?
As long as BAWACHA hawana shida na Aida kuingia bungeni kwa uchaguzi ule, then hatuwezi kusema eti kupeleka wabunge 19 ni ‘kushiriki haramu’.
Na kama ule mchakato wa kuteua wabunge 19 wa viti maalumu ulikuwa umeshaanza internally kabla Halima hajafanya yake (kwa maelezo ya John Mrema), mnasubiri nini kuwareplace hao 19 ‘waliojipeleka’ tena kwa kufoji sahihi?
As long as BAWACHA hawana shida na Aida kuingia bungeni kwa uchaguzi ule, then hatuwezi kusema eti kupeleka wabunge 19 ni ‘kushiriki haramu’.