Tune star Tv yuko live.
Tune star Tv yuko live.
Ni vyema kama angafafanua tuhuma zake za Kutumia madawa ya kulevya + Usagaji.
Hawa Wabunge mimi wananishangaza sana, Huyu Halima Mdee mwenyewe amejitwalia shamba huko Mbweni, halafu kwenye runinga analalamikia watu kumilikishwa ardhi kubwa.Tune star Tv yuko live.
cyo wa hvy mm buku 7 kitu gani? tatizo wana cdm huwa hamuonyeshi nn cha kufanya zaidi ya kulalamika, nani awape nchi viongozi ambao sera yao ni kulalama?
Mkiambiwa ukweli mnasema buku saba,akili matope kweli
Hawa Wabunge mimi wananishangaza sana, Huyu Halima Mdee mwenyewe amejitwalia shamba huko Mbweni, halafu kwenye runinga analalamikia watu kumilikishwa ardhi kubwa.
Mkiambiwa ukweli mnasema buku saba,akili matope kweli
mdee awe makini sana. babu slaa anamuandaa jesephine kugombea kawe mwaka 2015. huyu mama anampeleka slaa puta. hata jana niliona kwenye kongamano akimuamrisha slaa kupiga makofi. mdee linda jimbo lako usikubali kuendeshwa na padre mwenye uchu......
Umepata futari ya kutosha kweli maana unaweweseka sana!!
unafikiri kwa akili yako ungesema nini sasa!!!!????anaongea siasa zaidi na bado hajaelewa maana ya mada anatakiwa kuonyesha njia na siyo kulalamika zaidi, huu siyo wakati wa kulalamika tena