Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Halima amekuwa akiwapeleka sana pupa viongozi wake na kutowaheshimu na wakati mwingine kuwatukana kwa kweli hii ni kuonyesha kuwa amechoka na hawez lkn nikuforce kwa masilahi binafsi ya watu wachache wa chama .
Amekuwa akifanya makosa mengi ndani ya chama lkn hakuwa anachukuliwa hatua kwasababu bado wanataka kumtumia kuwakandamiza wananchi na kuyalisha matumbo yao. Nakujifanya wanauchungu yani mwizi hana rangi niwaulize halima amepeleka hela za halmashauri na misaada ya mashirika binafsi wap kwa miaka mitano tu wala tusiongelee miaka 10
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Acha uzushi,huyo no miongoni mean super woman,na mziki wake hakuna mgombea was chama chenu was kumfananisha nae .Kama uongo bisha.Huyo mshindani wake hapo nyie endeleeni kumfariji tu .Kwani hats zile sofa za msingi tuu,zilisha mkataa.
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Nimekuwa mwanachama wa CDM kwa miaka 11 sasa lakin kilichoendelea ndani ya chama changu kwa jimbo la kawe ni jambo la aibu sana.

Haiwezekani mtu ambaye anajiona mwenyewe kabisa kuwa hafai tena kugombea analazimishwa kugombea..
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Huyu hakufaa kabisa kuwa kiongozi huku kwenye kata ya Mbweni Mtaa wa mpiji tunapata shida ya mafuriko kipindi cha mvua (hakuna mitaro) alituahidi kutusaidia lakini baada ya kuchaguliwa hakurudi tena Halima hafai kabisa kuchaguliwa tena.
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.
Halima nikiongozi anayetumia mabavu na sio democrasia katika kuwaongoza wananchi ndio maana hajawahi kabisa kujishughulisha na wananchi nafikiri hata yeye anajua alipofika hana mwitikio wala watu wakumsapport kwa ujinga anaouendeleza kawe
 
Acha uzushi,huyo no miongoni mean super woman,na mziki wake hakuna mgombea was chama chenu was kumfananisha nae .Kama uongo bisha.Huyo mshindani wake hapo nyie endeleeni kumfariji tu .Kwani hats zile sofa za msingi tuu,zilisha mkataa.
Hiiiiiii! We nae unaongea nini
Mbona sasa kashindwa kuprove yeye ni super woman au unafkiri usuper woman ni sauti acha ubwege wewe
 
Sisi kama wanakawe tumeangalia na mtazamo wako wa miaka 10 iliyopita na ya sasa tumegundua kuwa kwasasa unataka jimbo la kawe kwa kukomoa wala hauna mpango wowote wa kuleta maendeleo kawe kwa namna hii wanakawe hatuwezi kukuchagua kwasababu uko kwa masilai yako binafsi wala sio kuwasaidia wanakawe. kwaheri Halima mdee
 
Huoni kama ww ndo unashangaza

Nashangaza kwa lipi sasa!! Kwa kujirekodi nikipiga mashine na mwamamke mwingine halafu baadae nikatokea mbele ya vyombo vya habari na mke wangu wa ndoa akiwa pembeni na kukana hadharani ya kwamba yule siyo mimi!!

Eti wamei edit tu picha ya mtu mwingine!! Yaani mtu asiye na maadili ndiyo mnampigia chapuo la kuwa kioo cha jamii!! Say NO to Gwaji Boy!! Kawe inahitaji mtu anayejitambua. Ila siyo huyo mtu mzima na akili zake timamu, halafu anakubali kujirekodi video za faragha.
 
Sio mbaya sana kuachana na issue za ubunge nahsi alikuwa anataka kula bata
IMG-20201003-WA0035.jpg
 
Sisi kama wanakawe tumeangalia na mtazamo wako wa miaka 10 iliyopita na ya sasa tumegundua kuwa kwasasa unataka jimbo la kawe kwa kukomoa wala hauna mpango wowote wa kuleta maendeleo kawe kwa namna hii wanakawe hatuwezi kukuchagua kwasababu uko kwa masilai yako binafsi wala sio kuwasaidia wanakawe. kwaheri Halima mdee
Usemi feki was maendeleo hayana chama una nafasi gani kwenye uchaguzi huu.
 
Acha uzushi,huyo no miongoni mean super woman,na mziki wake hakuna mgombea was chama chenu was kumfananisha nae .Kama uongo bisha.Huyo mshindani wake hapo nyie endeleeni kumfariji tu .Kwani hats zile sofa za msingi tuu,zilisha mkataa.
Super woman kwako tu Halima hana cha usuperwoman wala nini n mpuuzi tu kama wapuuzi wengine
 
Nashangaza kwa lipi sasa!! Kwa kujirekodi nikipiga mashine na mwamamke mwingine halafu baadae nikatokea mbele ya vyombo ya vyombo vya habari na mke wangu wa ndoa akiwa pembeni na kukana hadharani ya kwamba yule siyo mimi!!

Eti wamei edit tu picha ya mtu mwingine!! Yaani mtu asiye na maadili ndiyo mnampigia chapuo la kuwa kioo cha jamii!! Say NO to Gwaji Boy!! Kawe inahitaji mtu anayejitambua. Ila siyo huyo mtu mzima na akili zake timamu, halafu anakubali kujirekodi video za faragha.
Shida yao wote na chama Chao maadili sifuri.
 
Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute maamuzi yake hayo.

Hii ilitokana na yeye mwenyewe kujitathimini na kuona hana cha maana cha kutuambia sisi wananchi wa Kawe na tukamuelewa kwa kuwa ahadi zote alizozitoa kwa miaka kumi yote hamna hata jambo moja lililokamilika. Ndo maana akaona ni heri akimbilie kwenye viti maalumu ili asiwe na mzigo wa kutuwakilisha sisi wananchi.

Nimejiuliza tu kama mtu hakuwa na utayari hadi kalazimishwa kutuwakilisha wananchi tuna uhakika gani na ahadi zake anazozitoa kwa sasa kama tu kwa miaka kumi alishindwa na alikuwa hajalazimishwa.

Id za July 2020 zilizoanzishwa na Gwajima kumpamba na kuwachafua washindani wake jimbo la mawe. Amewanunulia smartphone au mnatumiwa tu.?
 
Back
Top Bottom