Yaani hawa washikaji kama walijua vile huyu mdada nina maswali kibao sana juu yake.
Awamu hii ya pili ya uongozi wake huku Kawe naona kama amelegea tofauti na pale mwanzo,nimeicheki hii nikaona nishee na na nyie wadau wenzangu, maana hii wanasema unamuuliza swali naye anakujibu katika comment yake.
Itakuwa Jumatano ya kesho kuanzia saa 6 mchana kwenye page yao ya facebook eatv.
Awamu hii ya pili ya uongozi wake huku Kawe naona kama amelegea tofauti na pale mwanzo,nimeicheki hii nikaona nishee na na nyie wadau wenzangu, maana hii wanasema unamuuliza swali naye anakujibu katika comment yake.
Itakuwa Jumatano ya kesho kuanzia saa 6 mchana kwenye page yao ya facebook eatv.