Duuuuuuuu.....kazi kweri kweri.....!!! Kumbe mizunguko ya hawa jamaa wa vyama ni kwa ajili ya kumaliza ruzuku ya vyama vyao....Kumbe Nape na Kinana walizikomba nyingi eheeeeeeeeeeee...!! Kweli watz tunaibiwa sana eeee...hizo pesa za mizunguko si zingeweza kuingizwa kwenye huduma za afya....!! WOTE NYIE WEZI TU, CDM WEZI na CCM WEZI...
Halima Mdee na genge lake naona wameamua kumkomoa Mbowe ..Wanakula posho tu kila siku mpaka wahakikishe account ya ruzuku ya chama imefilisika.. Mbowe safari za Dubai zitapungua sana
Safi sana, na maccm yakiruhusu tu watu wajiandikisha. Ndio litakuwa ni kabutibla maccm
kaka hatupo hapa kwa ajili ya kulinganisha idadi ya watu.tupo kwa ajili ya kupigania rasilimali zetu zinavyoliwa na mafisadi halafu wewe unaleta ushabiki wa kipumbavu,watu wanatutetea sisi wananchi juu ya katiba mbovu ya ccm wewe unashabikia upuuzi.kweli kuna watu bado mna upeo mdogo wa kufikiria.Tafakari kabla hujabwabwaja upuuzi
Halima Mdee na genge lake naona wameamua kumkomoa Mbowe ..Wanakula posho tu kila siku mpaka wahakikishe account ya ruzuku ya chama imefilisika.. Mbowe safari za Dubai zitapungua sana
mbona hakuna watu?