karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Kweli tumepata jembe BAWACHA,ni mkutano mkubwa uliofanyika hapa Geita chini ya makamanda Halima Mdee,John Heche,kamanda Mawazo,katibu wa BAVICHA Taifa,Makamu mwenyekiti BAVICHA Taifa na wengine waliokuwa kwenye msafara.Peoples power