Halima Mdee: Hila zilizopangwa uchaguzi 17/2/2018 (Jumamosi) Kinondoni, Siha na kata mbalimbali

Aliyoyaandika, kama yaje Halima, JF siyo jukwaa sahihi la kupigia Kampeni. Yote aliyoyasema, jukwaa sahihi ni la hadhara na mengine yafikishwe kwenye vyombo husika vya kulinda haki na usalama wa kila raia.

Mh Mdee, kama mbunge, anavijua hivyo vyombo, na sheria husika. Uropojaji hovyo, siyo tu anajivunjia heshima, anaaibisha CHADEMA, chama chenye jina la kuheshimu misingi ya demokrasia.

Mh Mdee, kama walivyo viongozi wote wa CHADEMA, haeleweki anasimamia na kutetea nini? Agenda ya ufisadi imetupwa. Kudai Katiba kumewekwa kando. Kusimamia na kuishi kidemokrasia, kwao ni wimbo.

AIBU TUPU KWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI
aibu kivpi na ufisadi umeingiliaje kwenye mambo ya kupiga kura, hapa linaongelewa hujuma, udhalimu na uhabithi mnaowafanyia wapinzani, hebu acheni haki bin haki itendeke na mtu ashindwe au ashinde bila kutumia udhalimu, lakini kwa kutumia risasi tena za moto halafu mnasema aibu kwa upinzani ambao hawana hata penseli kama silaha ya kujilinda aibu gani mkuu
 
aibu kivpi na ufisadi umeingiliaje kwenye mambo ya kupiga kura, hapa linaongelewa hujuma, udhalimu na uhabithi mnaowafanyia wapinzani, hebu acheni haki bin haki itendeke na mtu ashindwe au ashinde bila kutumia udhalimu, lakini kwa kutumia risasi tena za moto halafu mnasema aibu kwa upinzani ambao hawana hata penseli kama silaha ya kujilinda aibu gani mkuu

Kweli Nyani haoni kundule. Inashangaza na kusikitisha tunapotetea uvunjifu wa sheria kwa makusudi, nyuma ya kivuli cha sheria.

Siwezi kuamini na kukubali kuwa viongozi wa vyama vya siasa hawajui sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.
Km unamruhusuje wakala wako kwenda kituoni pasipo kitambulisho?

Unakusanyaje kundi la watu kwenda kwenye ofisi za NEC baada ya kazi?

Unawashawishije vijana kufanya vurugu wakati wa kampeni?

Je, ni kwa kiwango gani, hao viongozi wa vyama wamewashawishi wanachama wao kwenda kupiga kura?

Katika hali halisi hiyo, ni sahihi kulaumu CCM au viongozi wa NEC/Serikali?
 
Kweli Nyani haoni kundule. Inashangaza na kusikitisha tunapotetea uvunjifu wa sheria kwa makusudi, nyuma ya kivuli cha sheria.

Siwezi kuamini na kukubali kuwa viongozi wa vyama vya siasa hawajui sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.
Km unamruhusuje wakala wako kwenda kituoni pasipo kitambulisho?

Unakusanyaje kundi la watu kwenda kwenye ofisi za NEC baada ya kazi?

Unawashawishije vijana kufanya vurugu wakati wa kampeni?

Je, ni kwa kiwango gani, hao viongozi wa vyama wamewashawishi wanachama wao kwenda kupiga kura?

Katika hali halisi hiyo, ni sahihi kulaumu CCM au viongozi wa NEC/Serikali?
sawa mwengeso, kwanini ded asingetoa viapo tu haya yote yasingetokea, kumbuka hata ccm wangefanyiwa hivi pangechafuka zaidi ya hapa, washamtumia maandishi, hakujibu, simu hapokei, anafatwa ofisini anagoma kutoka, hata kama ungekuwa wewe, wakati mwingine ukiwa unadai haki kwa njia zinazotakiwa na ukishindwa lazima uje na mbinu mbadala potelea mbali hata ukatoa uhai wako ili wengine wapate fanikiwa, nadhani ded baada ya kusikia kuwa polisi wameua ndio akatoa viapo, na hapo bado hivyo viapo kwenye vituo vya kupigia kura, wanaambia ni viapo feki, figisu mnaanzisha wenyewe, haya furahini nyoyo zenu zimesuuzika kwa udhalimu mnaowafanyia wananchi
 
sawa mwengeso, kwanini ded asingetoa viapo tu haya yote yasingetokea, kumbuka hata ccm wangefanyiwa hivi pangechafuka zaidi ya hapa, washamtumia maandishi, hakujibu, simu hapokei, anafatwa ofisini anagoma kutoka, hata kama ungekuwa wewe, wakati mwingine ukiwa unadai haki kwa njia zinazotakiwa na ukishindwa lazima uje na mbinu mbadala potelea mbali hata ukatoa uhai wako ili wengine wapate fanikiwa, nadhani ded baada ya kusikia kuwa polisi wameua ndio akatoa viapo, na hapo bado hivyo viapo kwenye vituo vya kupigia kura, wanaambia ni viapo feki, figisu mnaanzisha wenyewe, haya furahini nyoyo zenu zimesuuzika kwa udhalimu mnaowafanyia wananchi
Unalosema ni sahihi. Kiongozi, mwenye busara, kamwe halalishi uvunjifu wa sheria kwa kuwa upande mwingine haukutekeleza wajibu waje.

Sababu za kuhamasisha vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani ni kukubali kuwa ushindi hawaupati, japo waneshiriki na wamewaaminisha hivyo wanachama na wafuasi wao. Kinachotafutwa ni jinsi ya kurudi kwa wanachama na wafuasi wao bila ushindi. Pia kuna tetesi upande huo hauna fedha ya kutosha kuwalipa mawakala.
 
Aliyoyaandika, kama yaje Halima, JF siyo jukwaa sahihi la kupigia Kampeni. Yote aliyoyasema, jukwaa sahihi ni la hadhara na mengine yafikishwe kwenye vyombo husika vya kulinda haki na usalama wa kila raia.

Mh Mdee, kama mbunge, anavijua hivyo vyombo, na sheria husika. Uropojaji hovyo, siyo tu anajivunjia heshima, anaaibisha CHADEMA, chama chenye jina la kuheshimu misingi ya demokrasia.

Mh Mdee, kama walivyo viongozi wote wa CHADEMA, haeleweki anasimamia na kutetea nini? Agenda ya ufisadi imetupwa. Kudai Katiba kumewekwa kando. Kusimamia na kuishi kidemokrasia, kwao ni wimbo.

AIBU TUPU KWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI
Kweli hizo kelele tu..hata hivyo huko mnapomwelekeza akashitaki bado wateule wake ni makada wetu wameteuliwa na Mwenyekiti wetu. Haki inapimwa na sisi CCM hakuna watakapoenda wakapata haki kinyume na matakwa yetu.
 
Back
Top Bottom