Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Wajua Mtani kila mtu na anavyoangalis Taifa letu linapoelekea, kwa wengine tunaona mwisho wa hili si mzuri.Hatukuhitaji serikali ziwe ngapi tulihitaji japo safari hii watawala watusikilize kilio chetu, hatuhitaji tena viongozi wasio na uwezo, wezi, wala rushwaill mafisadi leo ndio hawa wanatuletea maelekezo yao kwamba nyie watawaliwa hamjui mkitakacho ila watawala wanajua.Ndiyo sababu yote ya kumweka Mtani wangunhuyu huko KEKO!
kama watanzania wote wakiwemo wana ccm na wanachadema na vyama vyote pia wakiwa wanajadili mambo kwa uhalisia wake nadhani tungekuwa tunapata viongozi waadilifu sana tena sana. Tatizo kubwa na linalo nipa shida ni ile hali ya kujadili mambo kiitikadi! Nimeipenda comment yako mkuu ten sana.
 
kama watanzania wote wakiwemo wana indticm na wanachadema na vyama vyote pia wakiwa wanajadili mambo kwa uhalisia wake nadhani tungekuwa tunapata viongozi waadilifu sana tena sana. Tatizo kubwa na linalo nipa shida ni ile hali ya kujadili mambo kiitikadi! Nimeipenda comment yako mkuu ten sana.

Nimeipenda muonekano wako.Baadaye nitakutumia hint.Ila inatia hasira na uchingu pale watawaliwa tunapogawanywa kama machungwa na wachache na familia, ndugu, marafiki wakiendelea kuitafuna vyema KEKI ya Taifa letu.Halafu tunawaunga mkono kwa kujigawa.We are so stupid.
 
Mimi ningemshauri kuwa makini na mambo ya siasa aisee maana yake siku izi Tanzania imebadilika
 
[SIZE=4 [B]Halima Mdee[/B] chochcote kibaya kinachofanywa na serikali juu yake kinaongeza speed ya kupaza sauti kama mwenyekiti wa kina mama.
Kudos Halima Mdee kazi yako inaonekana na sauti yako inasikika viunga vyote kuainzia bungeni ,ikulu
[/SIZE]
hadi nje ya mipaka.
 
Ha ha ha ha ha ha, CCM kwao marefu hayana ncha na wala hakuna mwanzo wenye mwisho. Mijamaa imelewa madaraka chakari na wala haijitambui. Wana uvivu wa kufikiri hata ya Idi Amini, Mobutu Seseseko, Muhamar Ghadafi, Mbaraka wa Misri nk. Just imagine siku Jk, Pinda, Shein wanaokotwa kwenye mtaro wa majitaka kama mende. Ha ha ha ha ha dunia bwana usipoielewa utafikiri ni meza kumbe ni tufe.
 
Nchi hii bado watu wanafanya kazi kwa hisia zaidi ili kuonekana mbele ya watu hasa wakubwa wanaotoa vyeo.Watanzania wengi wanagombania vyeo ndio maana ukimuona kamanda wa polisi anafura juu ya wapinzania usidhani kuwa ana kingine zaidi ya kutaka kupandishwa cheo chenye kumnufaisha yeye na familia.Ref case study ya Kamuhanda.
 
Kuhakiki ni utaratibu wa kawaida kwa mahaka,
inawezekn mjia tu yameandwa lkini hawakuwa na tarifa kuwa wao ni wadhamini,
Acha upotoshaji

Halima Mdee ni mbunge wa Jamhuri ya Tanzania kwa aina ya kesi waliyomshtaki hakimu anayo mamlaka ya kumwambia ajidhamini mwenyewe. Ila kwa sababu ni mambo ya kupangwa yana mwisho haya.
 
Halima Mdee ni mbunge wa Jamhuri ya Tanzania kwa aina ya kesi waliyomshtaki hakimu anayo mamlaka ya kumwambia ajidhamini mwenyewe. Ila kwa sababu ni mambo ya kupangwa yana mwisho haya.

Wewe unawashwa nini wakati mwenyewe amesema ameenda kula bata?
 
siasa kitu kingine - huyu mama alikuwa akicheka na rais wakati wanafungua hiyo barabara leo anaburuzwa rumande !
 
Back
Top Bottom