Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Hawa Polisi watu wa ajabu sana. JK si alimkaribisha Ikulu sasa wao walimkamatia nini?


jkkk.jpg
Kazi ya Upolice Tanzania ni ngumu mno - sidhani kama mimi ningeiweza - kufanya kazi bila kupewa chance ya kufikiri.
 
Is a freedom of nation when everybody is equally on eyes of the laws.
 
Wanajaribu kutisha umma kwa kuwajengea uwezo wa kuogopa vitisho, safi sana kateni mti mliokalia tukutane wakati mnaanguka nikiwa ninapanda
 
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikishadhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wachama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Watakumbuka shuka asubuhi.Huyu wamempa ujiko usiokifani.Hongera HALIMA MDEE tupo pamoja nawe kwenye sala
 
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikishadhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wachama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mkuu hivi kazi ya kuhakiki wadhamini ni kazi ya mshitaki/mdai au ni kazi ya Mahakama??? mm sio mjuzi wa sheria nijuze
 
Kazi ya Upolice Tanzania ni ngumu mno - sidhani kama mimi ningeiweza - kufanya kazi bila kupewa chance ya kufikiri.

ili ufanikiwe kuwa polisi wa tz inabidi uwe na tabia kama za mbwa!
 
Put a frog in a vessel of water and start heating the water.

As the temperature of the water rises, the frog is able to adjust its body temperature accordingly.


The frog keeps on adjusting with increase in temperature...

Just when the water is about to reach boiling point, the frog is not able to adjust anymore...

At that point the frog decides to jump out...

The frog tries to jump but is unable to do so, because it has lost all its strength in adjusting with the rising water temperature...

Very soon the frog dies.

What killed the frog?

Many of us would say the boiling water...

But the truth is what killed the frog was its own inability to decide when it had to jump out.

We all need to adjust with people and situations, but we need to be sure when we need to adjust and when we need to confront/face.

There are times when we need to face the situation and take the appropriate action...

If we allow people to exploit us physically, mentally, emotionally or financially, they will continue to do so...

We have to decide when to jump.

Let us jump while we still have the strength.

Think on It !!
 
Hakika mzee nakupa hongera sana kwa uchamburi mahili lati kama wenzako wangekuwa kama wewe hakika tanzania sasa tungekuwa tunafikiria vitu vingine na si hivi vya kupelekana segarea

uchamburi ,lati?? kwenye umeelemewa na mahaba
 
Polisi wanatumika sana, hawajagundua hilo na mbaya zaidi wanatumika kuipaisha CDM.
 
Mbona watumishi wa uma wanakuwa misukule ya ccm?
 
Kuhakiki ni utaratibu wa kawaida kwa mahaka,
inawezekn mjia tu yameandwa lkini hawakuwa na tarifa kuwa wao ni wadhamini,
Acha upotoshaji

acha uongo ukisha thibitishwa na ama mtendaji au ofisi unayofanyia kazi hakuna uthibitisho zaidi ya huu, hata sisi huwa tunadhamini anaekuthibitisha ni mtendaji wa eneo lako,issue ikiwa kubwa ndo wanaitaji mtu yeyote aliye ajiriwa kwenye taasisi inayotambulika
 
Halima Mdee hakutendewa haki;
Pengine ilikuwa janja ya serikali ili kupunguza attention ya kukabidhiwa katiba mpya;

Ila siyo vizuri alivyofanyiwa dada/mama mwenzetu;
Hakutendewa haki kabisa, wapi kosa la kumsweka ndani na dhamana kukataliwa?
 
Back
Top Bottom