Kazi ya Upolice Tanzania ni ngumu mno - sidhani kama mimi ningeiweza - kufanya kazi bila kupewa chance ya kufikiri.Hawa Polisi watu wa ajabu sana. JK si alimkaribisha Ikulu sasa wao walimkamatia nini?
![]()
Kazi ya Upolice Tanzania ni ngumu mno - sidhani kama mimi ningeiweza - kufanya kazi bila kupewa chance ya kufikiri.Hawa Polisi watu wa ajabu sana. JK si alimkaribisha Ikulu sasa wao walimkamatia nini?
![]()
Halima mdee will become very very popular women and strong leader in tanzania.
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.
Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.
Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?
Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikishadhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wachama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.
Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.
Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?
Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikishadhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wachama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hawa Polisi watu wa ajabu sana. JK si alimkaribisha Ikulu sasa wao walimkamatia nini?
![]()
Kazi ya Upolice Tanzania ni ngumu mno - sidhani kama mimi ningeiweza - kufanya kazi bila kupewa chance ya kufikiri.
Hakika mzee nakupa hongera sana kwa uchamburi mahili lati kama wenzako wangekuwa kama wewe hakika tanzania sasa tungekuwa tunafikiria vitu vingine na si hivi vya kupelekana segarea
Hawa Polisi watu wa ajabu sana. JK si alimkaribisha Ikulu sasa wao walimkamatia nini?
![]()
Mbona watumishi wa uma wanakuwa misukule ya ccm?
Watumishi wa umma walio misukule ya CCM ni ma RC, DC na hayo mapolisi na si wengineo.
Kuhakiki ni utaratibu wa kawaida kwa mahaka,
inawezekn mjia tu yameandwa lkini hawakuwa na tarifa kuwa wao ni wadhamini,
Acha upotoshaji