Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

Dada pia alipigwa kwa magogo ya polisi lakini Mdee nakupongeza usiogope kwani lupango wanaishi watu siyo simba au chui only umewekwa fungu moja na wauaji na majangili. Usikate tamaa bali songa mbele. Wewe wamekuweka siku moja ila Mandela akikaa miaka 27 na alipotoka akawa a great leader . Wamempiga chura teke usijali tuko pamoja!!!
 
halima mdee hakutendewa haki;
pengine ilikuwa janja ya serikali ili kupunguza attention ya kukabidhiwa katiba mpya;

ila siyo vizuri alivyofanyiwa dada/mama mwenzetu;
hakutendewa haki kabisa, wapi kosa la kumsweka ndani na dhamana kukataliwa?

leo umeeleweka!
 
Tupatupa unatuangusha sana, na tunaheshimu,we wakanda hawa wanini? Wato waliokamtwa ni wa kilimanuaro!!
 
Mkuu wangu VUTA-NKUVUTE hebu nisaidie kitu kimoja. Tokea uhuru hadi sasa tumeshuhudia Wenyeviti wanne wa chama hiki CCM ambao walikuwa marais pia. Lakini kuanzia awamu ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa hatukubahatika kuona jeshi la Polisi linatumika kichama sana kama kipindi hiki cha sasa kwa nini? Mkapa aliwahi kutumia vibaya jeshi hilo lakini ilikuwa ni KI DOLA na si kichama. Jee huku ni kushindwa kwa mwenyekiti wenu kujenga hoja zenye ushawishi kisiasa?
Sasa hivi imekuwa sio siri tena kuwa Polisi ni jumuia ya chama kama UVCCM au Wazazi na UWT maana wanapokea maelekezo toka Lumumba na kutenda bila kufikiri. Mzee Tupatupa hebu tupe utabiri wako chama chenu kinaelekea wapi? Na mwenyekiti wenu anaendelea kuonyesha usanii wake kwa kukataza hadharani wenzake eti wasitumie Polisi kisiasa kisha anazungumzia kwapani "piga hao" ili kujivua lawama. Kasahau kuwa yeye ndiye Amiri jeshi mkuu hivyo lawama za jeshi lake anabeba yeye?
 
Last edited by a moderator:
VUTA-NKUVUTE

Barikiwa Sana Kaka, vp kuhusu Kiduku cha Dodoma leo.
Nasikia Ben na Karume wamekisusia, kunani tena Lumumba ??
 
Last edited by a moderator:
Halima Mdee hakutendewa haki;
Pengine ilikuwa janja ya serikali ili kupunguza attention ya kukabidhiwa katiba mpya;

Ila siyo vizuri alivyofanyiwa dada/mama mwenzetu;
Hakutendewa haki kabisa, wapi kosa la kumsweka ndani na dhamana kukataliwa?

Sasa ndiyo uache kushiriki karamu na maharamia.
Hawana undugu hao ,watakutumia wakikuchoka watakuweka unapostahili.
 
Halima Mdee hakutendewa haki;
Pengine ilikuwa janja ya serikali ili kupunguza attention ya kukabidhiwa katiba mpya;

Ila siyo vizuri alivyofanyiwa dada/mama mwenzetu;
Hakutendewa haki kabisa, wapi kosa la kumsweka ndani na dhamana kukataliwa?

Mtani upo ! Siamini kama umekuwa positive kiasi hiki.Japo Bibie Mdee ni Mtani wangu lakini nampa hongera nyingi sana,na pia chama chetu pendwa kimempaisha MTANI wangu huyu.
 
Pole sana kamanda Mdee, MAPAMBANO YANAENDELEA HADI TAIFA LETU LIPATE UKOMBOZI WA KWELI!
 
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikisha dhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wa chama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.


Updates....
Halima Mdee na wenzae 8 wamepata dhamana. Ni jambo jema
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Hili ndio jembe na kiboko ya magamba
 
Last edited by a moderator:
pole mzee tupatupa kuhakiki ni jambo la lazima kwa kila mdhaminiwa na wadhamini sio maafisa wa CDM bali watumishi wa serikali wanaoaminika....foleni ya dar ilimchelewesha kurudi labda mngempa chopa aruke haraka na kurudi haraka
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikisha dhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wa chama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.


Updates....
Halima Mdee na wenzae 8 wamepata dhamana. Ni jambo jema
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikisha dhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wa chama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.


Updates....
Halima Mdee na wenzae 8 wamepata dhamana. Ni jambo jema
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Hongera dada Mdee kwa. kuwachachafya hao magamba
 
Last edited by a moderator:
wacha wawaweke gerezani mapema ili wasije kuwa waoga tena na mahala hapo wakati wa mapambano ukifika. hawawatishi badala yake wanawapa ujasiri zaidi.
 
Nipo,
Je, hata kwa masuala magumu tufe na tai zetu tu???
Mtani upo ! Siamini kama umekuwa positive kiasi hiki.Japo Bibie Mdee ni Mtani wangu lakini nampa hongera nyingi sana,na pia chama chetu pendwa kimempaisha MTANI wangu huyu.
 
Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua.

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikisha dhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wa chama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.


Updates....
Halima Mdee na wenzae 8 wamepata dhamana. Ni jambo jema
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

ki ukweli kujadili hoja bila ushabiki wa chama ni jambo linalo toa picha nzuri kuwa taratibu watanzania tunaweza kujadili mambo bila uchadema wala uccm na tukatoa mawazo mema kwa mstakabali wa taifa.
 
Last edited by a moderator:
Nipo,
Je, hata kwa masuala magumu tufe na tai zetu tu???

Wajua Mtani kila mtu na anavyoangalis Taifa letu linapoelekea, kwa wengine tunaona mwisho wa hili si mzuri.Hatukuhitaji serikali ziwe ngapi tulihitaji japo safari hii watawala watusikilize kilio chetu, hatuhitaji tena viongozi wasio na uwezo, wezi, wala rushwaill mafisadi leo ndio hawa wanatuletea maelekezo yao kwamba nyie watawaliwa hamjui mkitakacho ila watawala wanajua.Ndiyo sababu yote ya kumweka Mtani wangunhuyu huko KEKO!
 
Back
Top Bottom