Halima Mdee hana jipya


Mdee hana uwezo wa kuboresha miundo, afya wala elimu ila ni serikali pekee. ukisema ni mdee nitakuuliza pesa ametoa wapi?
 
anamaanisha kashatiwa mimba.
Nalog off

Acheni matusi na hoja za kijinga hapa! Hata wewe mama yako ASINGE TIWA /MIMBA usinge log in hapa na kuleta pumba zako hapa. Kama katiwa mimba HUYO ndo mwanamke wa ukweli. Au mlitaka wawatie nyie? Kwani mwanamke asipotiwa tungepatikana hapa! Kama hauna la kuchangia acha mada ipite! Au yeye kupata huo ubunge na jinsi yake imebadilika?
 
Jamani kuongea tu si kipimo cha uwajibikaji! wengine hawapendi kukaa wanaropokaropoka!
 

Nasikitika kusema kwamba pamoja na kuwa mimi ni mwanaChadema, lakini nitamchagua Mh. James Mbatia Ubunge Kawe kama atagombea. Halima Mdee kanidisappoint sana...
 
SLIM SHADE kama jina lilivyo huna jipya juu ya hii clip. Mtamsikia Halima kwenye bomba yuko kwenye chama makini na brain yake iko active. Sasda muendelee na majungu ya vijiweni watu wanapasua nchi kwa chopa kuanika mambo ya kifisadi. Jitayarisheni kisaikolojia kama Bondeni walivyojitarisha kuishi bila Madiba. Kisomo cha kuunganisha sawa na Waziri Mulugo.
 
barabara za mbezi bado ni tatizo, maji salalasala na kinzudi pia ni muarobaini.Mheshimiwa ps take note maana 2015 si mbali.twajua wafanya kazi mazingira magumu lakini tembelea wapiga kura wako hasa hayo maeneo na naamini yako mengi huku jimbo la Kawe . Kumepoa Mheshimiwa
 
Mleta mada kifaa unachotumia kufikiria kinamatatizo makubwa,kimevurugwa sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…