Halima Mdee got trolled on Twitter

Halima Mdee got trolled on Twitter

Sio siri bungeni wapo wabunge fisadi wengi, wavuta bangi wengi tu na wabwia unga cocaine etc wapo. spika ndugai mwenyewe kashatujulisha wapiga kura ili tukae tukijua.
hivi juzi wananchi tumeshangaa kuona bunge likimzingira makonda na kupata kiwewe kwa kampeni aliyoanzisha kupambana na watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya. mbunge eti ananyanyuka anasema kwa kua mtu fulani hajatajwa makonda akamatwe. halima mdee mbunge wa kawe anasema bungeni eti mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya haikupewa hela za maendeleo hata senti kwa nini inaanzisha jambo hawaliwezi. tena anaongea kwa jazba dhidi ya operation hiyo labda ni kwa vile mdogo wake vanessa mdee ametajwa na makonda. mdee ni mwanasheria. hivi hela ya maendeleo si inajenga majumba etc ina uhusiano gani kuzuia wazungu wa unga kushikwa. hatuna wabunge ila watu binafsi wenye kutetea maslahi yao binafsi bungeni. tuliona jinsi operation tokomeza ilivyohujumiwa na wabunge na kumgeuzia kibao waziri kagasheki hadi kumlazimu kujiuzulu. hivi tukisema bunge sasa ni genge la wapinga maendeleo tutakua tumekosea..mungu apishilie mbali. mungu amtie nguvu makonda mungu amtie nguvu rais wetu jpm ili taifa lishinde
vita hii ya madawa ya kulevya. p/se wakuu jf huu uzi usiwekwe kapuni
 
Sio siri bungeni wapo wabunge fisadi wengi, wavuta bangi wengi tu na wabwia unga cocaine etc wapo. spika ndugai mwenyewe kashatujulisha wapiga kura ili tukae tukijua.
hivi juzi wananchi tumeshangaa kuona bunge likimzingira makonda na kupata kiwewe kwa kampeni aliyoanzisha kupambana na watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya. mbunge eti ananyanyuka anasema kwa kua mtu fulani hajatajwa makonda akamatwe. halima mdee mbunge wa kawe anasema bungeni eti mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya haikupewa hela za maendeleo hata senti kwa nini inaanzisha jambo hawaliwezi. tena anaongea kwa jazba dhidi ya operation hiyo labda ni kwa vile mdogo wake vanessa mdee ametajwa na makonda. mdee ni mwanasheria. hivi hela ya maendeleo si inajenga majumba etc ina uhusiano gani kuzuia wazungu wa unga kushikwa. hatuna wabunge ila watu binafsi wenye kutetea maslahi yao binafsi bungeni. tuliona jinsi operation tokomeza ilivyohujumiwa na wabunge na kumgeuzia kibao waziri kagasheki hadi kumlazimu kujiuzulu. hivi tukisema bunge sasa ni genge la wapinga maendeleo tutakua tumekosea..mungu apishilie mbali. mungu amtie nguvu makonda mungu amtie nguvu rais wetu jpm ili taifa lishinde
vita hii ya madawa ya kulevya. p/se wakuu jf huu uzi usiwekwe kapuni
Acha ujinga kijana . . , Taifa au nchi haindeshwi na Mkuu wa Mkoa na Raisi peke yao, rudi shule kijana . .
 
kwel naamin kuna watu wanatumia unga upande flani nd maana wanatetea
 
Sio siri bungeni wapo wabunge fisadi wengi, wavuta bangi wengi tu na wabwia unga cocaine etc wapo. spika ndugai mwenyewe kashatujulisha wapiga kura ili tukae tukijua.
hivi juzi wananchi tumeshangaa kuona bunge likimzingira makonda na kupata kiwewe kwa kampeni aliyoanzisha kupambana na watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya. mbunge eti ananyanyuka anasema kwa kua mtu fulani hajatajwa makonda akamatwe. halima mdee mbunge wa kawe anasema bungeni eti mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya haikupewa hela za maendeleo hata senti kwa nini inaanzisha jambo hawaliwezi. tena anaongea kwa jazba dhidi ya operation hiyo labda ni kwa vile mdogo wake vanessa mdee ametajwa na makonda. mdee ni mwanasheria. hivi hela ya maendeleo si inajenga majumba etc ina uhusiano gani kuzuia wazungu wa unga kushikwa. hatuna wabunge ila watu binafsi wenye kutetea maslahi yao binafsi bungeni. tuliona jinsi operation tokomeza ilivyohujumiwa na wabunge na kumgeuzia kibao waziri kagasheki hadi kumlazimu kujiuzulu. hivi tukisema bunge sasa ni genge la wapinga maendeleo tutakua tumekosea..mungu apishilie mbali. mungu amtie nguvu makonda mungu amtie nguvu rais wetu jpm ili taifa lishinde
vita hii ya madawa ya kulevya. p/se wakuu jf huu uzi usiwekwe kapuni
Kilaza mkubwaa wee,
Unaona kuna point umeweka hapo?? F***k u
 
Back
Top Bottom