Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Mdee na Wanabawacha wenzake wanawaza kumkomboa Mtanzania ,Wale wa dodoma wao wanawaza dume ama strawberry cndms ipi ina ladha ama kavu kavu
utaifakwanza ni Gamba na Intarahamwe ambalo liko interested na harakati za Mpango wa Mungu through CHADEMAMbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na BAWACHA wanajiandaa kuingia msituni sio kupigana bali wanaingia msitu kwa msitu, poli kwa poli na kijiji kwa kijiji ili kwa muda wa Miezi miwili ili kuhakikisha CHADEMA inasonga mbele na kuenea Tanzania nzima ili kuitoa CCM madarakani.
Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza Vizuri na hatawaangusha na wameshafanya kikao tayari na kupanga ratiba ya ziara ili kumkomboa mtanzania.
Chanzo: Habari ITV
kumbe na wewe unaangalia itv si mnasemaga ni pro chadema nilidhan tbc au gazeti la uhuruMbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na BAWACHA wanajiandaa kuingia msituni sio kupigana bali wanaingia msitu kwa msitu, poli kwa poli na kijiji kwa kijiji ili kwa muda wa Miezi miwili ili kuhakikisha CHADEMA inasonga mbele na kuenea Tanzania nzima ili kuitoa CCM madarakani.
Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza Vizuri na hatawaangusha na wameshafanya kikao tayari na kupanga ratiba ya ziara ili kumkomboa mtanzania.
Chanzo: Habari ITV
utaifakwanza ni Gamba na Intarahamwe ambalo liko interested na harakati za Mpango wa Mungu through CHADEMA
Acha ushamba wewe sio pombe ni shampeni non alcoholic wewe utakuwa umetoka matombo bila shaka.
ndiyo ilikuwa non alcoholic,alafu unabisha utafikiri ulikuwepo au unataka kukeketwa weweShampen ipo alcoholic na non alcoholic sasa wewe uli onja? Au ndio mshamba zaidi
ndiyo ilikuwa non alcoholic,alafu unabisha utafikiri ulikuwepo au unataka kukeketwa wewe
Mungu(edwin mtei) wa kanda ya kaskazini?
Hayo maneno mwambie mwenyekiti wako Halima Mdee
Magamba yana weweseka kweli
Mbuzi jike wewe
Nyie pigeni Kalele kama Kuku mtetea Ma kamanda wanaendelea kusonga mbele.
Mkistuka mtakuwa tayari karibu kutaga
Mbunge wa kawe halima james mdee amesema kuwa chama chake na BAWACHA wanajiandaa kuingia msituni wanaingia msitu kwa msitu, poli kwa poli na kijiji kwa kijiji ili kwa muda wa Miezi miwili ili kuhakikisha CHADEMA inasonga mbele na kuenea Tanzania nzima ili kuitoa CCM madarakani.
Amesema kuwa wanawake na vijana wanamuamini hivyo atawaongoza Vizuri na hatawaangusha na wameshafanya kikao tayari na kupanga ratiba ya ziara ili kumkomboa mtanzania.
Chanzo: Habari ITV
Devil minds comes from in born character! Dada yangu chikutentema nina wasi wasi na mama yako enzi za ujana wake alikua kahaba(mlupo)!
Mmh...sisi wengine yetu macho, ni wajibu wetu kuyasoma yale yanayoandikwa humu JF
Lakini mods wakikushukia kama mwewe usije kumlaumu mtu!