Halima Mdee: BAWACHA Tumepanga kuingia msituni

Mdee na Wanabawacha wenzake wanawaza kumkomboa Mtanzania ,Wale wa dodoma wao wanawaza dume ama strawberry cndms ipi ina ladha ama kavu kavu

Devil minds comes from in born character! Dada yangu chikutentema nina wasi wasi na mama yako enzi za ujana wake alikua kahaba(mlupo)!
 
utaifakwanza ni Gamba na Intarahamwe ambalo liko interested na harakati za Mpango wa Mungu through CHADEMA
 
Last edited by a moderator:
kumbe na wewe unaangalia itv si mnasemaga ni pro chadema nilidhan tbc au gazeti la uhuru
 
Mi Mwenyewe Niko Tayari Kwenda Msituni Hata Kesho[/QUOTE]
Hongera sana mdogo wangu Halima . Tunakuunga mkono tuko pamoja. Nimaamini safu yako hasa katibu Mkuu atafanya kazi vizuri. Nia isiwe ubunge wa viti maalum bali kuwafikia Wanawake wengi na hivyo uhakika wa kushika dola. Mbarikiwe na Mungu.
 

All the best ila jiografia ya TZ miezi 2 ni alinacha zaidi ni kutaliii Na choppa kama viongozi wako
 
Mmh...sisi wengine yetu macho, ni wajibu wetu kuyasoma yale yanayoandikwa humu JF

Lakini mods wakikushukia kama mwewe usije kumlaumu mtu!

Hitakuwa na tatizo maana mimi ajira yangu haipo JF kama wengine, sijui ww mwenzangu mpaka ukawahofu Mods
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…