Yule jamaa wa tabora alimpiga mwanachama wa CDM pale dodoma hatuja sikia hata kuitwa kituoni kuhojiwa,lakn Halima anaendelea kulala lupango,viongozi hebu fikilieni mambo haya kwa faida ya nchi wananchi wanajifunza nn kwa matendo haya yanayo tazama upande mmoja tu,niushauritu.