Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2010
Posts
899
Reaction score
1,108
Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa maabusu jioni hii. Anatarudishwa mahakamani hapo kesho.

Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu.

===

Kwa taarifa zaidi.

Mbunge mmoja wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA amepelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza vigezo vya dhamana mahakamani.

Halima Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama hicho pamoja na wenzake wanane, walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakituhumiwa kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku.

Mwandishi wa BBC mjini Dar es Salaam Baruan Muhuza amefanya mahojiano na msemaji wa chama hicho Tumaini Makene ambaye kwanza anaelezea kwanini Mbunge huyo amekosa dhamana?


Chanzo: BBC Swahili

 
Dhamana ilikuwa ipo wazi Ila alienda kuthibitisha wadhimini kwenye waajiri wao hajarudi hadi sasa.
 
Breaking Newz: Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa jela jioni hii... Anatarudishwa mahakamani hapo kesho...

Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu..

Kufanya nini?
 
Breaking Newz: Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa jela jioni hii... Anatarudishwa mahakamani hapo kesho...

Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu..
Serikali ya CCM imefikia mwisho wake. Dalili zote zinaonyesha... wame-panick kitu chochote au mtu yoyote mwenye mawazo tofauti anaonyeshwa cha mtema kuni. Mpaka lile bango la maandamano ya waalimu kwao lilikuwa ni tishio...Dalili za dola kukaribia mwisho wake...
 
Dhamana ilikuwa ipo wazi Ila alienda kuthibitisha wadhimini kwenye waajiri wao hajarudi hadi sasa.
Hata akikaa huko siku kumi atarudi tu la maana wasimu mwakyembe tu Kesh atapewa headline za kutosha yeye akiswekwa ndani Nape na Kinana wanatanua iringa huko maandamano kwa raha zao
 
Nilidhani utawaambia makamanda muende jela mkalale badala yake...kumbe mnataka kwenda mahakamani kesho kwa uwingi....haya shauri yenu....mtapigwa na kuvunjwa viuongo mkijidai mna uchungu na mdee....mwisho wa siku mtajuta kwani mnapaswa mumuache mwenyewe mchimba kisima...ameyataka na yanawezekana kuyapata ...nasi wapenda amani na utii wa sheria bila shuruti tunampongeza sana hakimu aliyemtia adabu
Breaking Newz: Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa jela jioni hii... Anatarudishwa mahakamani hapo kesho...

Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu..
 
henry Kileo na GODBLESS Lema wanajua nini kiliwapata mahabusu, shauri yake
 
Last edited by a moderator:
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza

Mandela alifungwa miaka mingapi na Makaburu kwa mawazo haya haya ya kihuni kama ya kwako?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom