Halima Mdee akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,397
Reaction score
88,663
Leo kulikua na maandamano ya baraza la wanawake CHADEMA yaliokuwa yanaelekea ikulu kudai kuchakachuliwa kwa rasimu ya katiba yakiongozwa na mwenyekiti Halima Mdee, polisi wakaingilia na wakawatanya pia kumkamata Halima Mdee, kwa sasa yupo mbaroni.



Chanzo: ITV Breaking News
 
Rais kikwete mbona alimualika? Hivi ninyi policcm mnasumbuliwa na nn?.... Heri.... Lazma nyota imulike
 
hao ni WACHOCHEZI TU.....ACHA WAHIFADHIWE KWA MUDA.
 
Bawacha walipanga maandamano ya amani leo kuelekea ikulu kwa raisi.

Waende ikulu kufanya nini? si wangeandamana kwenda ufipa, kumbe mnamtambua rais ndio kila kitu. acheni kuzowea vyombo vya dola mtapigwa tu
 
Rais kikwete mbona alimualika? Hivi ninyi policcm mnasumbuliwa na nn?.... Heri.... Lazma nyota imulike

alimualika wakat wa uzinduz wa barabara mwenge-tegeta labda make-nge-zaaaa hakuskia
 
angajua angemuomba kibali kikwete wakati wanafungua hiyo barabara ya tegeta...
_hawa police wetu dawa yao ni JWTZ tu
 
Napia wamwangalie kama ni mwanamke kweli! yaweza kua anaigiza kuwa mwanamke kumbe dume. nchi hii italindwa na raia wake wanaotii sheria bila shuruti ukikaidi utapigwa tu
Hizi ID huwa zinaendana na akili zenu, we mkuu una akili ya katumbili
 
Last edited by a moderator:
alimualika wakat wa uzinduz wa barabara mwenge-tegeta labda make-nge-zaaaa hakuskia

Kwahiyo yeye akajua tayari anaweza kuamka tu ameshiba makande yake na kwenda ikulu, ajifunze kuheshimu mamlaka ya nchi asipoiheshimu mamlaka iliyowekwa na sisi wananchi kwa wingi wetu atapigwa tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…