Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Kmbwembwe acha wivu wa kitoto Bwana, we ulitaka watumishi wa Mungu Gwajima atembelee bajaji? Au mafisadi watembelee Chopa? Acheni Wivu bwana, mtu Kama hamumjui ipasavyo ujasiri wa kuongea mnautoa wapi?
 
ngoja gwajima am-flora mbashe aone naona kajipeleka mwenyewe
 
Mtaongea mengi sana kuhusu Gwajima ....... mara hili mara lile lakini wengi wanaoongea pumba, wanaonekana wazi kwamba hawana jipya la kuchangia na wengi wao ni wivu na ushamba ndivyo vinavyowasumbua ...... kuna wahubiri wengi duniani wenye vyombo vya usafiri vya kisasa kushinda hata hiyo helkopta wako wenye ndege za kusafiria tena zaidi ya moja ... acheni ushamba na udaku ....
 
Nadhani Gwajima ndio Askofu wa kwanza Tanzania kununua Helicopter. Hongera zake Sana, na Mungu ambariki sana duh!
 

Mrs Flora Gwajima yupo?
 
Flora Mbasha juu ya Madhabahu akiimba jimbo ni SAA YA UFUFUO NA UZIMA
 
safi sana,sasa asigeenda pale ina maana asingesaidiwa uchaguzi wa 2015?Watanzania bwana
 
amenunua chopper wakati paa la hiyo madhabahu yake inatia aibu.kweli gwajima haeshimu ofisi yake inayo mpatia kipato.
 
Jana ilikua Kakobe leo Gwajima,,, kwa chama kile kile....mbona sielewi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…