Mimi ninaitwa Olecranon mtoto wa mzee Olecranon Fossa (sr). Nimekuwa ninafuatilia majadiliano katika forum hii na kuvutiwa sana na jinsi wengi wenu mnatoa michango mizuri hasa kuhusu hali ya taifa letu. Hivyo nimeona na mimi nijiunge ili niweze kupata fursa ya kuchangia mawazo yangu. Idumu JF forum