Hali ya Uwanja wa Ndege wa Ndege

Hali ya Uwanja wa Ndege wa Ndege

Halafu kilaza tandale kwa mtogole unashupaza mishipa hujui lolote. Nyie hampendi elimu kabisa. We upo jeshi lipi la Irani? Upo tu unajinyea hapo na kinjunga chako na makobazi sana sana umefuga tu ndevu huna lolote. Apeche alolo unavizia maulid na ndizi mfukoni.
Sa unajiona ulivyo mjinga nimekuliza umeleta matusi sa wewe kilaza unajua nini kuliko mimi ungekuwa na elimu ungesema ndege za Israel zilingia Iran wakati Iran wenyewe wamesema hakuna ndege za Israel zilizo ingia anga la. Wewe unaleta utumbo eti mbunge wa Iran ndio kasema hayo nimeomba dalili huna fala mmoja wewe utabaki kuwa kenge tu.

 
Sa unajiona ulivyo mjinga nimekuliza umeleta matusi sa wewe kilaza unajua nini kuliko mimi ungekuwa na elimu ungesema ndege za Israel zilingia Iran wakati Iran wenyewe wamesema hakuna ndege za Israel zilizo ingia anga la. Wewe unaleta utumbo eti mbunge wa Iran ndio kasema hayo nimeomba dalili huna fala mmoja wewe utabaki kuwa kenge tu.

Halafu kilaza tandale kwa mtogole unashupaza mishipa hujui lolote. Nyie hampendi elimu kabisa. We upo jeshi lipi la Irani? Upo tu unajinyea hapo na kinjunga chako na makobazi sana sana umefuga tu ndevu huna lolote. Apeche alolo unavizia maulid na ndizi mfukoni
 
Dah. Kiongozi, wakarudi kunyonyesha watoto wao 🤣🤣🤣. Sure wanawake walishiriki kwenye yale mashambulizi. Halafu vingi ni vitoto vya umri wa 20s tu hivi hata hawawagi wakubwa. Ila Iran wamejitajidi sana kuficha madhara ya yale mashambulio. Walioniacha hoi ni wale walioingia ndani ya moja ya maeneo ya ulinzi/usalama ya Irani wakati masahambulizi yanaendelea, na kuondoka na nyaraka. Raia wanapumbazwa na milipuko huku wahuni wameshuka ardhini na kuondoka na mafaili. Israel ni habari nyingine aisee
Acheni uongo aisee uongo haukusaidii kitu.
Wanawake walikua watatu na mashambulizi yalikuwa contained.
Shida ya vijana mnaokaa vijiweni kutuletea stori za vijiweni.
Shikeni adabu yenu Kuna watu tunaojielewa humu.
 
Halafu kilaza tandale kwa mtogole unashupaza mishipa hujui lolote. Nyie hampendi elimu kabisa. We upo jeshi lipi la Irani? Upo tu unajinyea hapo na kinjunga chako na makobazi sana sana umefuga tu ndevu huna lolote. Apeche alolo unavizia maulid na ndizi mfukoni
Wewe ni katika watoto walio zaliwa wakati wa kipindupindu ndio mana ukiulizwa tomato unajibu vitunguu. Unaongea utumbo ukiulizwa huo utumbo wa mbuzi au wango'mbe huna jibu.

Hivi we kenge unadhani kwanini USA hajakimmbilia kupiga Iran akakimbilia Yemen hujiulizi kwanini? USA anafahamu wazi anga la Iran si lakuchezea vitisho vingi kama vile mbwa koko anabweka tu huku kaukunja mkia kuingiza kwenye mapaja yake hahaha hio ndio USA mbele ya Iran.

Afu uje we kenge useme mapilot wakike walipiga afu wakaenda nyonyesha vitoto vyao hahaha wangegusa Iran hao nadhani watoto wao wangenda kunyonya kwa bibi you Netanyahu we hujui nyau anaitwa bibi kwani usijiulize mwanaume anaitwa bibi.

Kenge mmoja wewe ndevu ni sifa ya uwanaume we kaulize hata dada zako unapenda mwanaume mwenye ndevu au yule kanyoa kafanana na wanawake hana ndevu watakujibu
 

View: https://youtu.be/HNaLeTu6OVk?si=Xk5PiMghfcJtbt54

Al Houth kuanzia leo hakuna ndege zitatua Ben Gurion Air Port nchi nyingi zime zuia ndege zao kwenda Israel


View: https://youtu.be/7ihlWbGrBf0?si=zUjOBnBHvmKcLJh5

Waziri wa ulinzi wao anajidai wataipiga Yemen kilacsehemu, sa nani kakuzuia nenda kapige tena mlidhani mkipiga Air Port ndio mtashinda vita mtawapigia magoti Al Houthi kama baba yenu USA time itaongea Yemen ni wanaume wale mmechezea pabaya.



View: https://youtu.be/RqACXfo-OII?si=r_2AENRAPcjLPpa-
 
Kama dini ililetwa na mtu, huyo mtu alikuwa na akili kuliko viumbe vyote vilivyowahi kutokea
 
Back
Top Bottom