Hali ya Uwanja wa Ndege wa Ndege

Hali ya Uwanja wa Ndege wa Ndege

Mkuu unauchochezi

Wewe unataka Israel na Iran zichapwe?

Usiombee vita ndugu yangu, kuna uhai wa watu unapotea chief

Vita mbaya sana, mimi Wayahudi siwaelewielewi sana hawa, uwezo wao ni kama kuna miungu ndani yake
Haha hao walisha pewa lana zamani eti
Kuna miungu ndani yake hivi miungu ipi unayo kusudia miungu ya kikristo sababu Wayahudi wanamini Mungu wa Waislam pia Mungu wao nyie ndio mungu wenu binadamu.


View: https://youtube.com/shorts/6ymB7X5EzS0?si=qO3ZQqXaCKJFikEy
 
Yemen na somalia zimetenganishwa na mkondo wa bahari na zote ni maskini. Wananchi wanalala njaa huku serikali yao inawekeza kwenye vita vya kidini
Lakini ndio wafanya biashara wakubwa Kenya, Tanzania,Uganda, Zambia
 
Kuna binadamu humu anaitwa g turn alidai kwenye comment moja kuwa haoni mantiki ya hilo shambulizi.MPAKA LEO NAMSHANGAA
Ni kweli sioni mantiki ningeumia Sana Kama ningeona kiwanda Cha drones na makombora Yemeni kimefutwa Sasa hapo si ujenzi TU unaanza upya majengo basi
 

Attachments

  • VID_20250507_154701_249.mp4
    595.3 KB
Ni kweli sioni mantiki ningeumia Sana Kama ningeona kiwanda Cha drones na makombora Yemeni kimefutwa Sasa hapo si ujenzi TU unaanza upya majengo basi
Haupo serious ndugu yangu
 
Nchi maskini kabsa miundo mbinu muhimu ( bandari na airport) vinachakazwa unaona ni kawaida tu!!!!!???? Nchi yenye food insecurity!!!!!!!!! Nchi inayotegemea ku import chakula!!!!!!. Wew unaongelea kiwanda cha drone.... seriously!!!!.
Haina maana Mimi nishibe jiran yangu analala njaa huu utaratibu katika Uislam ni dhambi kubwa wao Wana mtetea ndugu Yao Alie hana hata uwezo wa kuagiza chakula hivyo nyezo za kumsaidia jiran yangu ni muhimu kuliko chakula ambacho Mimi ninauwezo wa kukiagiza
 
Ritz Adiosamigo Webabu inabidi kutoa tamko. Tulishangilia sana Yemen walivyorusha makombola Israel. Kuna mmoja alisema haiwezekani ndege za. israel zikaenda piga Yemeni umbali mrefu. Israel kaenda kapiga. Karudi anakunywa kahawa. Nakumbuka Iran walitumwa mademu wakatandika wakarudi kunyonyesha watoto wao kama vile nothing happened. Operation sijui Promise imeota mbawa mpaka leo.
Dah. Kiongozi, wakarudi kunyonyesha watoto wao 🤣🤣🤣. Sure wanawake walishiriki kwenye yale mashambulizi. Halafu vingi ni vitoto vya umri wa 20s tu hivi hata hawawagi wakubwa. Ila Iran wamejitajidi sana kuficha madhara ya yale mashambulio. Walioniacha hoi ni wale walioingia ndani ya moja ya maeneo ya ulinzi/usalama ya Irani wakati masahambulizi yanaendelea, na kuondoka na nyaraka. Raia wanapumbazwa na milipuko huku wahuni wameshuka ardhini na kuondoka na mafaili. Israel ni habari nyingine aisee
 
Haina maana Mimi nishibe jiran yangu analala njaa huu utaratibu katika Uislam ni dhambi kubwa wao Wana mtetea ndugu Yao Alie hana hata uwezo wa kuagiza chakula hivyo nyezo za kumsaidia jiran yangu ni muhimu kuliko chakula ambacho Mimi ninauwezo wa kukiagiza
Sawa!
 
Asante Al qassam
The enemy's media admits that 6 Zionist soldiers were killed and injured as a result of the bombing and collapse of a building in Rafah in which a Golani Brigade force was holed up.
 
Yemen na somalia zimetenganishwa na mkondo wa bahari na zote ni maskini. Wananchi wanalala njaa huku serikali yao inawekeza kwenye vita vya kidini
Yemeni haipigani vita za kidini hio ni geopolitical war.
Pili Yemeni ilikua na njaa kipindi Houthi hawajashika madaraka wakiwa vitani.
Sasa hivi Yemeni hakuna njaa.
 
Dah. Kiongozi, wakarudi kunyonyesha watoto wao 🤣🤣🤣. Sure wanawake walishiriki kwenye yale mashambulizi. Halafu vingi ni vitoto vya umri wa 20s tu hivi hata hawawagi wakubwa. Ila Iran wamejitajidi sana kuficha madhara ya yale mashambulio. Walioniacha hoi ni wale walioingia ndani ya moja ya maeneo ya ulinzi/usalama ya Irani wakati masahambulizi yanaendelea, na kuondoka na nyaraka. Raia wanapumbazwa na milipuko huku wahuni wameshuka ardhini na kuondoka na mafaili. Israel ni habari nyingine aisee

Hawa madogo akina Adiosamigo Webabu mpaka leo wapo kwenye denial wanabaki tu kulia lia na kupaniki. Irani alipata kipigo kibaya sana. Mpaka leo haamini ndo maana amenyamaza. Humsikii tena akipapatika. Kachezea kipigo toka kwa mademu. Just imagine mademu tu wa miaka 20s wanaingia ndani ya nchi yako wanalipua maeneo yako ya kuzalishia silaha wanachukua na nyaraka wanaondoka. Na wewe ndo ulikuwa unaonekana taifa kubwa tegemeo. Lazima uone aibu. Irani imefukuza sana majemedari wake kwa aibu.
 
Hawa madogo akina Adiosamigo Webabu mpaka leo wapo kwenye denial wanabaki tu kulia lia na kupaniki. Irani alipata kipigo kibaya sana. Mpaka leo haamini ndo maana amenyamaza. Humsikii tena akipapatika. Kachezea kipigo toka kwa mademu. Just imagine mademu tu wa miaka 20s wanaingia ndani ya nchi yako wanalipua maeneo yako ya kuzalishia silaha wanachukua na nyaraka wanaondoka. Na wewe ndo ulikuwa unaonekana taifa kubwa tegemeo. Lazima uone aibu. Irani imefukuza sana majemedari wake kwa aibu.
Hizo Story za kanisa la Kata ya Msongozi labda mnalishwa uwongo sana hizo habari umezitolea wapi Israel toka lini walikuwa wa kweli. Mimi nakuambia hakuna hata ndege ya Israel iligusa mpaka wa Iran walishia border ya Iraq wakarusha Missiles kama vichaa vile 😄
 
Hizo Story za kanisa la Kata ya Msongozi labda mnalishwa uwongo sana hizo habari umezitolea wapi Israel toka lini walikuwa wa kweli. Mimi nakuambia hakuna hata ndege ya Israel iligusa mpaka wa Iran walishia border ya Iraq wakarusha Missiles kama vichaa vile 😄
Dogo hujielewi. Mbunge wa Iran anaongea analalamika wewe kilaza tandale kwa tumbo unabisha... Nyie hampendi elimu kabisa. Kwa nini? 😁
 
Dogo hujielewi. Mbunge wa Iran anaongea analalamika wewe kilaza tandale kwa tumbo unabisha... Nyie hampendi elimu kabisa. Kwa nini? 😁
Mbunge wa Iran kumbe wa bunge ni Makamanda wa jeshi sio, hebu tupe mbunge gani alisema ndege za Israel zilingia Iran.
 
Mbunge wa Iran kumbe wa bunge ni Makamanda wa jeshi sio, hebu tupe mbunge gani alisema ndege za Israel zilingia Iran.

Halafu kilaza tandale kwa mtogole unashupaza mishipa hujui lolote. Nyie hampendi elimu kabisa. We upo jeshi lipi la Irani? Upo tu unajinyea hapo na kinjunga chako na makobazi sana sana umefuga tu ndevu huna lolote. Apeche alolo unavizia maulid na ndizi mfukoni.
 
Back
Top Bottom