Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,391
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!

Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali

Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea

Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa

Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi

Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi

Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!

Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi

Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa

Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka

Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha

Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu

Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!

Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?
1766223881831.jpg
 
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!
Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali

Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea
Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa
Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi

Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi
Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!
Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi
Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa

Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka
Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha
Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu
Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!
Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334
Huyu mwamba wamuachie tu wakimdhuru itakuwa mbaya sana.
 
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!

Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali

Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea

Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa

Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi

Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi

Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!

Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi

Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa

Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka

Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha

Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu

Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!

Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334
Ni jambo la kumshukuru mama mheshimiwa daktari profesa al hajat sheha, ustaadha, expert, mtenda maajabu, mwenye maono, mpenda watu, msikivu na mwenye weledi vya hali ya juu ssh
 
Acheni maneno ya uzushi ,uongo, uchonganishi na fitina. Najua mnaumia sanaa baada ya maombi yenu mabaya na nia zenu ovu kwa Taifa letu kushindwa vibaya sana. Najua mlikuwa mnatamani na Kuwa na kiu kubwa sana ya kutaka kuona machafuko yakitokea hapa Nchini na Amani na usalama vikitoweka kama ukungu.

Lakini baada ya kushindwa na watanzania kuwashitukieni na kugoma kuendelea kuwaungeni mkono mmebakia na maumivu sana. Mnaumia na kuchanganya kabisa mnapoona watanzania wakiendelea kuwa wamoja,kuiunga mkono serikali na Rais wetu Mpendwa.

Mnateseka sana mioyo yenu na kujaribu kuendelea kuleta vijimaneno vya uzushi ,uongo na uchonganishi kila uchao. Hata hivyo hamtafanikiwa hata kidogo.mtaendelea kushindwa vibaya sana. Tena kama wewe ulipiga sana malamli yako . Sasa aibu imekushika na unaanza kuja kujibaraguza hapa ukifikiri wote ni wajinga kama wewe.
 
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!

Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali

Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea

Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa

Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi

Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi

Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!

Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi

Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa

Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka

Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha

Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu

Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!

Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334

Kuna vitu waliahidi kwamba watafanyia kazi na kukamilisha ndani ya siku 100 lakini sioni kama watatimiza kwani nguvu na macho yao yameelekezwa kuwinda wachache wanaoongea...

Pamoja na kupata madaraka kwa kutoa uhai na kumwaga damu bado kauli zao si za kujenga na kuliunganisha taifa kuwa moja bali kutonesha na kuzidisha hasira za wananchi.

Taifa halijengwi kwa propaganda za uwongo na kwa kiburi cha viongozi kwa wananchi bali kwa unyenyekevu na kuheshimu wananchi.

Kwa hali hii Mungu pekee ndiye awezaye kulisimamia taifa letu na kubaki moja si hawa waliojitwalia madaraka kwa kumwaga damu na hawaonyeshi dalili yoyote ya kujifunza.
 
Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!

Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali

Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea

Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa

Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi

Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi

Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!

Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi

Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa

Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu

Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka

Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha

Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu

Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!

Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334
Huyu ni Msomali au Mnyarwanda?
 
Kuna vitu waliahidi kwamba watafanyia kazi na kukamilisha ndani ya siku 100 lakini sioni kama watatimiza kwani nguvu na macho yao yameelekezwa kuwinda wachache wanaoongea...

Pamoja na kupata madaraka kwa kutoa uhai na kumwaga damu bado kauli zao si za kujenga na kuliunganisha taifa kuwa moja bali kutonesha na kuzidisha hasira za wananchi.

Taifa halijengwi kwa propaganda za uwongo na kwa kiburi cha viongozi kwa wananchi bali kwa unyenyekevu na kuheshimu wananchi.

Kwa hali hii Mungu pekee ndiye awezaye kulisimamia taifa letu na kubaki moja si hawa waliojitwalia madaraka kwa kumwaga damu na hawaonyeshi dalili yoyote ya kujifunza.
Kwa hali hii Mungu pekee ndiye awezaye kulisimamia taifa letu na kubaki moja si hawa waliojitwalia madaraka kwa kumwaga damu na hawaonyeshi dalili yoyote ya kujifunza.
 
Vilaza na hekima, wapi na wapi! Ni vile tu watakavyoamua! Wakiamua wampoteze mazima kama walivyofanya kwa akina Polepole, Soka, Mdude, Dogo Chaula, na wengineo wengi; hakuna wa kuwazuia.
### HEAL THE NATION
(Verse 1)
Cracks in the walls where the light used to pour,
Voices divided, but we’re longing for more—
A hand to hold when the world feels so cold,
A story unwritten, a heart that’s not old.

(Pre-Chorus)
We’ve been breaking, but we’re not broken yet,
In the silence, there’s a song we can get—
Lift it higher, let the truth take flight,
Love is the language that can make wrong right.

(Chorus)
Heal the nation, with a heart wide open,
Mend the fences, where the hurt was spoken—
One by one, we’ll build it again,
With grace as our hammer, and hope as our friend.

(Verse 2)
Politics fades, but people remain,
Children still laugh where the rivers complain—
A mother’s prayer, a father’s quiet vow,
We’re more than the labels they try to endow.

(Bridge)
From the mountains to the city streets,
No more “other,” just “you and me”—
Tears become rain that waters the seed,
A garden of unity, where we all can feed.

(Chorus)
Heal the nation, with a heart wide open,
Mend the fences, where the hurt was spoken—
One by one, we’ll build it again,
With grace as our hammer, and hope as our friend.

(Outro)
When the storm passes, and the skies turn blue,
We’ll remember: we did this—me and you.
Heal the nation… together.

Jr™
 
Back
Top Bottom