Hali ya Usafiri na Wasafiri BRT ni mbaya mno. SUMATRA Mpo Wapi?

kuna watu humu wajinga kwa kiwango cha lami, hivi dar es salaama ni lini watu waliacha kujazana kwenye daladala, ni lini wa tuliacha kusimama kwenye daladala. kuhusu kuharibika kwa miundombinu ya udart, waharibifu wakubwa ni sisi wenyewe raia, kwenye udart kuna sehem imeandikwa no standing area, ila utakuta kuna abiria zaidi ya 10 wamejazana hapo, hebu piga picha ni nani unataka aje kukwambia ondoka hapo akati pameandikwa usisimame, kuna yale mabasi ya tera, utakuta watu wamekalia zile fins pale kwenye maungio, and they are hapy tu likikata kona madude yanapanukia kwenye mikundru yao wanasikia raha, ipo siku mjinga mmoja likipanuka azame ndani likirudi limbane. nimeona hata bomba za kushikilia zimeanza kung'oka boriti kule juu, jamaa nao hata hawazirudishii.tusianze kulaumu kijinga kabla ya kufanya utafiti.
Wewe ni mmoja wao kati ya hao Wajinga, huo mradi uliletwa Kwa lengo la kupunguza kero za Daladala badala ya kuondoa au kupunguza ndio wameongeza kero za usafiri.
 
kuna watu humu wajinga kwa kiwango cha lami, hivi dar es salaama ni lini watu waliacha kujazana kwenye daladala, ni lini wa tuliacha kusimama kwenye daladala. kuhusu kuharibika kwa miundombinu ya udart, waharibifu wakubwa ni sisi wenyewe raia, kwenye udart kuna sehem imeandikwa no standing area, ila utakuta kuna abiria zaidi ya 10 wamejazana hapo, hebu piga picha ni nani unataka aje kukwambia ondoka hapo akati pameandikwa usisimame, kuna yale mabasi ya tera, utakuta watu wamekalia zile fins pale kwenye maungio, and they are hapy tu likikata kona madude yanapanukia kwenye mikundru yao wanasikia raha, ipo siku mjinga mmoja likipanuka azame ndani likirudi limbane. nimeona hata bomba za kushikilia zimeanza kung'oka boriti kule juu, jamaa nao hata hawazirudishii.tusianze kulaumu kijinga kabla ya kufanya utafiti.

Kiasi flani unaweza ukawatupia abiria lawama kama sio mtumiaji wa kila siku wa hayo magari. Gari moja inaweza kuta abiria 100 kituoni na jingine litakuja baada ya nusu saa ambapo litakuta abiria wameshajaa. Hakuna mtu mwenye biashara zake atakaa pale hadi usiku kusubiri apande basi ambalo halitokuwa limejaa kiasi cha kuacha Ile sehemu ya No Standing Area.

Pili madereva wenyewe wasipowajaza kama nyanya mkajaa hadi mlango ukafunga kwa tabu hawaondoi gari.

Wasimamizi wa ule wamefeli sana
 
Inaonesha wewe si mkazi wa dar bora upiganie kijijini kwako uletewe maji wacha watu wa dar wa discuss kero zao

Eeeeh
Uatajadilije kero na huku hamjauziea usafiri wa aina ya mwendo kasi?

Mnachekesha kweli
Karibu huku kijinini usafiri wetu uitwao 11 ni bombaaaaa

Ha ha haaaaa

Wengi nyie mnalalamika kwa sababu hamna exposure.. full stop.. au mnagombana na wenu huko mnafika kituoni muwahi michepuko mnaanzisha hasira kwa kampuni..

Mjiongeze
 
Acha ushabiki wa kipuuzi. Njoo nikupeleke upande uone.

Ha ha haaaaaaa

Sasa unataka kunionyesha mfano hukunmie nayajua hayo au unafikiri sijapata exposure kama wewe


Eeeeeeeeh eeeeeeeh nchi zimeendelea hayonninmaisha ya kawaida kwa ya aina ya mwendo kasi.. na bado nasema kuache uvivu wa kujiongeza na kuzoea aina ya usafiri..

Wavivu sana nyie ungelalamika watu labda hawaogi na wewe hapo unakuwa hujaoga pia basi inakuwa balaaaa ningekuelewa.. maaana joto na majasho hayo eeeehila kuallamika kisa kwako sijui umefukuzwa na mihasira mnakuja kulaumu kitu ambacho wa nchi zingine wakisikia ni mtachekwa tu

Hii mitandao muitumie vizuri kujisomea mengine hata ukiona topic humu nenda kaperuzi zaidi muyajue.. tabu mnapenda udaku ndio mta hata fukua makaburi..


Ciao
 
kuna watu humu wajinga kwa kiwango cha lami, hivi dar es salaama ni lini watu waliacha kujazana kwenye daladala, ni lini wa tuliacha kusimama kwenye daladala. kuhusu kuharibika kwa miundombinu ya udart, waharibifu wakubwa ni sisi wenyewe raia, kwenye udart kuna sehem imeandikwa no standing area, ila utakuta kuna abiria zaidi ya 10 wamejazana hapo, hebu piga picha ni nani unataka aje kukwambia ondoka hapo akati pameandikwa usisimame, kuna yale mabasi ya tera, utakuta watu wamekalia zile fins pale kwenye maungio, and they are hapy tu likikata kona madude yanapanukia kwenye mikundru yao wanasikia raha, ipo siku mjinga mmoja likipanuka azame ndani likirudi limbane. nimeona hata bomba za kushikilia zimeanza kung'oka boriti kule juu, jamaa nao hata hawazirudishii.tusianze kulaumu kijinga kabla ya kufanya utafiti.

Sijui nikutukane tusi gani
In short were hujawahi kupanda wala kupata adha ya mwendokasi
 
kuna watu humu wajinga kwa kiwango cha lami, hivi dar es salaama ni lini watu waliacha kujazana kwenye daladala, ni lini wa tuliacha kusimama kwenye daladala. kuhusu kuharibika kwa miundombinu ya udart, waharibifu wakubwa ni sisi wenyewe raia, kwenye udart kuna sehem imeandikwa no standing area, ila utakuta kuna abiria zaidi ya 10 wamejazana hapo, hebu piga picha ni nani unataka aje kukwambia ondoka hapo akati pameandikwa usisimame, kuna yale mabasi ya tera, utakuta watu wamekalia zile fins pale kwenye maungio, and they are hapy tu likikata kona madude yanapanukia kwenye mikundru yao wanasikia raha, ipo siku mjinga mmoja likipanuka azame ndani likirudi limbane. nimeona hata bomba za kushikilia zimeanza kung'oka boriti kule juu, jamaa nao hata hawazirudishii.tusianze kulaumu kijinga kabla ya kufanya utafiti.
Mwendo kasi ilivyoanza haikuwa tabu kama hivi ila Sasa ni vurugu magari hajaji in time kabisa
 
Eeeeh
Uatajadilije kero na huku hamjauziea usafiri wa aina ya mwendo kasi?

Mnachekesha kweli
Karibu huku kijinini usafiri wetu uitwao 11 ni bombaaaaa

Ha ha haaaaa

Wengi nyie mnalalamika kwa sababu hamna exposure.. full stop.. au mnagombana na wenu huko mnafika kituoni muwahi michepuko mnaanzisha hasira kwa kampuni..

Mjiongeze
Hivi hiyo exposure unayozungumzia ni ipi Sasa kwa taarifa yako mimi nipo ufaransa Sasa kama bongo imezidi maendeleo ufaransa Sawa. Tatizo we ni mshamba tu kalime viazi ndo msimu wake huu
 
Hata mkuu wa mkoa siji kwann hasaidii wananchi wake kwa hili!
 
Tukubali yaishe. Mwendokasi imeshindikana turudishe mabasi yetu tuliyozoea ya daladala. Imagine mwendokasi ingekua zinakwenda Mbagala. Wangekufa abiria wangapi kwa siku ? I ask you.....
 
Kwa hiyo picha mbona haionyeshi watu kuwa wengi au kuwa pamejaaa na wamechoka na hakuna msongamano unaodai.. bali hao wawili watatu wanasubiri kwa uamuzi kupanda basi lingine..

Utakuwa msafiri wa siku moja unalalamika ambacho haukielewi mwenyewe.. ndio ingekuwa imetokea jana juzi tungekusikia..

Ya huyo Mama ulisikia ukuona.. kumbuka watu wana magonjwa na popote lolote linatokea hata majumbani mwao

Unasema milango haifungi ila nasoma unaandika mnafika kituo kinachofata.. duh

Ungeona maisha ya nchi zilizoendelea wakati wa mida ya kukimbizana basi ungelala kituoni kabisa weye au kurudi ulipotoka.. na maisha yao yanasonga mbele.. hicho kipicha chako kinatia aibu kuandika malalamiko
Ina maana huoni watu wamejaa hadi wamesimama mlangoni? Au tukuchoree mduara kwenye picha kwa kutumia photo editor application kukuonesha watu waliosimama mlangoni hadi wanatokea nje?
Siasa zisitufanye kuwa watetea makosa au uovu.
 
Ina maana huoni watu wamejaa hadi wamesimama mlangoni? Au tukuchoree mduara kwenye picha kwa kutumia photo editor application kukuonesha watu waliosimama mlangoni hadi wanatokea nje?
Siasa zisitufanye kuwa watetea makosa au uovu.

Ushamba ndio umewajaaaa eeeeeeh

Mutembeee nuone jamani

Nacheka hadi mbavu zinanibana yelewiiiii

Eeeeeeeh

Kitukooooo ha ha haaaa

Mitandao muwe mnajiongeza basi eeeeeh
 
Ushamba ndio umewajaaaa eeeeeeh

Mutembeee nuone jamani

Nacheka hadi mbavu zinanibana yelewiiiii

Eeeeeeeh

Kitukooooo ha ha haaaa

Mitandao muwe mnajiongeza basi eeeeeh
Ushamba unahusiana vipi na huduma za kiwango cha chini cha usafiri wa BRT?

Watu wamejaa kupita kiasi na wengine imewalazimu kusima mlangoni palipo andikwa NO STANDING na kusababisha mlango kushindwa kufunga.
Sisi tunafikisha uhalisia wa tatizo kwa wahusika watatue, wewe unasema huoni tatizo. Kama sio siasa zinazokufanya utetee tatizo ni nini?

Haya nifundishe ushamba wangu upo wapi nielimike nisiwe mshamba.

Pia niambia mahali gani ulikotembelea ukakuta mradi kama huu na watu wana minyana kiasi kile na kwao imekuwa ndio kustaarabika(kutokuwa mshamba*)?

Sio lazima kila kitu utetee au uchangie. Kama haujui hali halisi ya kinachozungumziwa, ni heri kukaa kimya na kuficha udhaifu wako .
 
Kwa hali niliyoshuhudia nilipopanda basi la Gerezani kuelekea Kimara ni ya kusikitisha sana, Kituoni Gerezani abiria waliosubiria gari kwa muda mrefu wamejazana pale miongoni mwao ni wa mama wenye watoto wadogo, wazee na wanafunzi, hatimaye linakuja basi kupakia ilihali ndani wamo abiria waliozunguka nalo!

Kwa vile watu wamechoka kusubiri kituoni wanaamua kuvamia hivyo hivyo basi linajaa kupita maelezo, basi linafika kituo cha msimbazi kundi lingine kubwa linavamia basi na mpaka milango kushindwa kufunga! Hii ni hatari sana, basi linafika kituo cha faya na vingine vifuatavyo kuna wanaolazimisha kuingia ndani wanashindwa na kuna wanaotaka kushuka wanashindwa! Watoto wadogo wanalia kwa kuminywa na tulisikia kuwa hivi karibuni kuna mama mwenye presha alianguka ktk kusukumana akakimbizwa muhimbili maana alianguka presha ikapanda.
Nachoshangaa Sumatra hawaoni shida hizi wao wakiwa wadhibiti na wasimamizi wa vyombo vya usafiri majini na nchi kama?

Au usafiri wa mwendo kasi hauwahusu? Tafadhali Sumatra hatua za haraka zitafutwe kuondoa usumbufu huu. View attachment 801926
Mkuu si wamekataza kupiga picha au uliomba kibali?
 
Back
Top Bottom