Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Joto kali limepungua, mvua zinanyesha tena bila mafuriko kutokea. Tanzania ilikuwa na mtawala asiye na damu ya nchi hii
Matamko ya ajabu hakuna, wale wakuu wa wilaya na mikoa wahuni wahuni wameufyata mikia yao
Matamko ya ajabu hakuna, wale wakuu wa wilaya na mikoa wahuni wahuni wameufyata mikia yao