Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,462 29,158 Oct 8, 2011 #1 Jamani kuna yeyote mwenye taarifa za hali ya kiafya ya huyu mheshmiwa?? Kuna taarifa nazisikia hapa si njema!! Nataka kuzihakikisha
Jamani kuna yeyote mwenye taarifa za hali ya kiafya ya huyu mheshmiwa?? Kuna taarifa nazisikia hapa si njema!! Nataka kuzihakikisha
JamboJema JF-Expert Member Jun 14, 2011 1,143 209 Oct 8, 2011 #2 Umesikia zipi? Mie nimeona humu eti kafariki!
DE NOVO Member Aug 30, 2011 34 7 Oct 8, 2011 #4 Mbona tumewaandama sana hawa makamanda wa MBeya... ni hii hamu ya jamaa yetu wa kusini kuwa presidaa au?
Mbona tumewaandama sana hawa makamanda wa MBeya... ni hii hamu ya jamaa yetu wa kusini kuwa presidaa au?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,907 Oct 8, 2011 #5 Wanyakyusa wameikosea nini hii govt? Kuna mwingine nasikia kavimba mwili mzima, eti wamemlisha sumu.
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Oct 8, 2011 #6 Mhhhhhhhhhhhhhhh! aisee hii ya kufariki mbona noma sana. Mpaka hapo kama ni kweli jamaa amefariki, basi hii ni vita ya magamba na wanyakyusa
Mhhhhhhhhhhhhhhh! aisee hii ya kufariki mbona noma sana. Mpaka hapo kama ni kweli jamaa amefariki, basi hii ni vita ya magamba na wanyakyusa
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Oct 8, 2011 #7 Wakuu uzushi wa Mwandosya kufariki si wa kweli, jamaa anaongea live from India this minute kupitia Radio One akijibu hizo tuhuma za kifo. Yuko hai wakuu
Wakuu uzushi wa Mwandosya kufariki si wa kweli, jamaa anaongea live from India this minute kupitia Radio One akijibu hizo tuhuma za kifo. Yuko hai wakuu
rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 Oct 8, 2011 #8 chadema tujiandae kazi inakuja,,safari hii wataona!
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,885 2,766 Oct 8, 2011 #9 mwandosya anaongea itv na anasema ana afya njema tofauti na awali. Kuna kitu nimegundua toka katika sauti yake. Ni sauti ya Nape typical!
mwandosya anaongea itv na anasema ana afya njema tofauti na awali. Kuna kitu nimegundua toka katika sauti yake. Ni sauti ya Nape typical!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Oct 8, 2011 #10 Yupo salama, na anahojiwa ITV kwa njia ya simu kutoka hospitalini.