Hali ya Mtwara mchana huu

JEMEDARI .H.

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
341
Reaction score
63
Wana JF, updates kutoka Mtwara zinasema wananchi wameitikia wito wa kutofanya kazi yeyote na kwamba ofisi za serikali tu ndio zinatoa huduma huku kila mwananchi akiwa nyumbani kwake.


MADUKA YA BIMA YOTE CLOSED:

JUCTION YA BIMA HAINA WATU KABISA, HATA NMB IMEFUNGWA:


KWA MBALI UTALIONA GARI YA ASKARI IKIRANDARANDA...KOKOBICHI, KIMYA KABISA YANI
 
Ebu fafanua, kuna nini hasa?
Tafuta kuna thread ya jana inahusu MTWARA KWANZA, GESI HAITOKI. Kwa ufupi, wakazi wamehamasishwa kusikiliza kauli ya serikali kuhusu geni iliyopatikana mikoa ya kusini leo kuanzia saa 3 wakati bajeti ya wizara husika itakapokuwa inasomwa bungeni.
 
wananchi wapate fursa ya kutizama bunge, wafahamu hatma ya gesi ili hatua zichukuliwe "na wananchi wenyewe"

mbona leo ni kuna muendelezo wa mjadala wa bajeti ya uchukuzi ya dr.mwakyembe..nani kawaambia leobajeti ya wizara ya nishati na madini...ukweli hili jambo la gas kuna watu wako nyuma ndio wanahamamsisisha wananchi vyema serikali ikawa makini na hawa watu wachache wanao chochea vurugu baada ya mshakamano na kuwaeleza wananchi ukweli.....
 
Tafuta kuna thread ya jana inahusu MTWARA KWANZA, GESI HAITOKI. Kwa ufupi, wakazi wamehamasishwa kusikiliza kauli ya serikali kuhusu geni iliyopatikana mikoa ya kusini leo kuanzia saa 3 wakati bajeti ya wizara husika itakapokuwa inasomwa bungeni.

Nashukuru Mkuu, nimeiona unajua wengine tunashinda mashambani, kiujumla hili suala Serikali wasilichukulie kirahisi, jamaa wa Mtwara wako serious na hii issue
 
i like this ipo siku ata tanga wataamka na kuhoji kilimo cha mkonge unavowanufaisha wananchi na vipi ahadi ya rais kuwa tanga itakua mji wa viwanda tanzania? I THINK IT IS TIME NOW TO OTHER REGIONS TO FOLLOW MTWARA'S FOOTSTEPS.OVER.
 
wananchi wapate fursa ya kutizama Bunge, wafahamu hatma ya Gesi ili hatua zichukuliwe "na wananchi wenyewe"
Kweli Mungu anataka kuikomboa Tanzania dhidi ya Shetani .........................................
 
hatutaki kuletewa habari nusunusu humu jf kama habari yako bado haija kamilika hakuna umuhimu wa kuipost humu.
TUPE SASA MKASA MZIMA WA HUKO MTWARA CZ UJATUPA PICHA KAMILI YA KWANN KUNA HALI HIYO HUKO MTWARA?
 
CCM watakata umeme ili mshindwe kusikiliza hotuba ya wizara...
 
Ni muda wa kila mmoja wetu kuamka na kusimama kuitetea mali yake ili sote tuugawane umasikini huu sio wachache tuu ndio waufaidi kama ilivyokuwa kule kilwa

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
ni kwa mtwara mjini huku wilayani shughuli zinaendelea kama kawaida.
 
Tuleteeni habari kwa utimilifu wake wakuu hasa The Big Show na mwenzio Nsizigwa.tuwekeeni hata picha za maduka yalivyofungwa,jinsi mitaa haina watu na mambo ambayo yatatupa uhalisia wa jambo lenyewe.ila ushauri wa bure mjiandae kwa kuwasha generator pia,hata hivyo sin uhakika kama bajeti ya wizara ya nishati itasomwa leo.
 
Ngoma inogile, aminia wamakonde. swali sasa hayo mabomuwaliyopeleka watayapiga wapi?[/QUOTE]

Ukizingatia hawajazoea kuona wananchi WAMETULIA (siyo kuandamana).........Itabidi mzigo wauweke AKIBA!!!!
 
Wao wakitaka wakae hata mwaka bila kufanya kazi hamna atakae wasumbua.
 
Na hao watu wana nguvu sana na wanakubalika huko Mtwara. Ndio demokrasia huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…