Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,220
- 12,724
Tumekuwa tunaaminishwa kuwa wanyonge wa nchi hii ni machinga, bodaboda, mamantilie, bajaji nk. Lakini hawa hawana unyonge wowote sema tu wanaplatform ya kuongea na kusikika. Ukipiga hesabu wengi wa hawa watu utakuta wako uchumi wa kati.
Mnyonge wa kweli wa hii nchi ni mkulima wa jembe la mkono huko kijijini. Huyu analia kimyakimya kwasababu hapewi/hana jukwaa la kuongelea. Mbayq zaidi hata wapinzani hawawajali watu hawa.
Laiti wapinzani wangejua nguvu ya wanyonge hawa na wangeuitumia leo wangekuwa na hali nyingine lakini wao nao wamekumbatia wanyonge feki (mama ntilie, bodaboda, bajaji, na machinga).
Sasa Rais wetu (RIP) alikuwa anajinasibu kuwa ni Rais wa wanyonge, naomba kujua hali ya wanyonge wa kweli (wakulima) toka 2015-2021 imekuwaje, imeboreka au imezidi kuwa mbaya?
Mnyonge wa kweli wa hii nchi ni mkulima wa jembe la mkono huko kijijini. Huyu analia kimyakimya kwasababu hapewi/hana jukwaa la kuongelea. Mbayq zaidi hata wapinzani hawawajali watu hawa.
Laiti wapinzani wangejua nguvu ya wanyonge hawa na wangeuitumia leo wangekuwa na hali nyingine lakini wao nao wamekumbatia wanyonge feki (mama ntilie, bodaboda, bajaji, na machinga).
Sasa Rais wetu (RIP) alikuwa anajinasibu kuwa ni Rais wa wanyonge, naomba kujua hali ya wanyonge wa kweli (wakulima) toka 2015-2021 imekuwaje, imeboreka au imezidi kuwa mbaya?