Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,091
- 13,790
Hali mbaya imewakumba watu mbalimbali katika mikoa tofauti. Kama ilivyo ada, Jf we dare to talk openly, tupe hali halisi ya ulipo
Mikoa ya Shinyanga Geita, Mwanza na Kagera tangu jana wese ni mizinguoHuku lake zone full wese
Shy sehem gan ...mm npo kahama ni full wese everywhereMikoa ya Shinyanga Geita, Mwanza na Kagera tangu jana wese ni mizinguo
Mimi niko Ngara mzee baba magari ya kutoka Kahama (TATA) wanafika hapa Kabanga wanapiga mihayoShy sehem gan ...mm npo kahama ni full wese everywhere
Karagwe pia leo asbh ni foleni wese mizinguoMimi niko Ngara mzee baba magari ya kutoka Kahama (TATA) wanafika hapa Kabanga wanapiga mihayo
Mtu hawezi paki kisa ongezeko la 400 atakuwa hayuko seriousPakini magari nyie
Ova
Lake zone ipi hiyo wakati Simiyu na Shinyanga hakuna mafuta.Huku lake zone full wese
Mbona kama wenye magari wanalialiaMtu hawezi paki kisa ongezeko la 400 atakuwa hayuko serious
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wanaolia asilimia kubwa hawamiliki magariMbona kama wenye magari wanalialia
Ova
Hali mbaya imewakumba watu mbalimbali katika mikoa tofauti. Kama ilivyo ada, Jf we dare to talk openly, tupe hali halisi ya ulipo
View attachment 2705365View attachment 2705366
Tulijuaje kama mafuta shida???
Roho mbaya hii!!!Pakini magari nyie
Ova
Mtu mwenye gari hawezi lalamika 400 imepanda, elewa hivo.Tulijuaje kama mafuta shida???
Si nyie wenye magari mnalialia
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Hao machawa achana naoLake zone ipi hiyo wakati Simiyu na Shinyanga hakuna mafuta.