njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Nilikuwa jana na jamaa mmoja ambaye ni mtangazaji wa kituo kikubwa cha TV bongo ananimbia hali ya kifedha ya media nyingi haswa Tv ni tete,hapo sisemei magazeti ukiondoa yale ya michezo maana yana afadhali.
Anasema afadhali radio bado sponsors wako wengi haswa vipindi vya michezo na vile vyenye contents za uswahilini kama uhondo au leo tena.
Sababu kubwa ni mvuto wa tv kupungua kutokana na social media na kubanwa vitu vya kuandika na kusema haswa vya kisiasa,pia michezo haswa mpira wa miguu imekuwa na nguvu sana kwa hiyo vipindi vya michezo bado havikosi sponsors haswa vya redio maana gharama za kutangaza ni ndogo kuliko tv na wengi wanasikiliza.
Anasema afadhali radio bado sponsors wako wengi haswa vipindi vya michezo na vile vyenye contents za uswahilini kama uhondo au leo tena.
Sababu kubwa ni mvuto wa tv kupungua kutokana na social media na kubanwa vitu vya kuandika na kusema haswa vya kisiasa,pia michezo haswa mpira wa miguu imekuwa na nguvu sana kwa hiyo vipindi vya michezo bado havikosi sponsors haswa vya redio maana gharama za kutangaza ni ndogo kuliko tv na wengi wanasikiliza.