mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Jaman leo hali ya hewa ilikua mbaya acheni! Nimesafiri Mwanza-Dar na fast jet ndo tumetua.
Tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..
Lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo. Sitasahau.
Tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..
Lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo. Sitasahau.