Hali ya hewa leo Dar

Kwanza hao TMA wanatabiri au wanaotea? Hawjawahi kuwa accurate hata siku moja ndio maana hili limewapita shwaaa
 
Hapo kwenye Mizigo hapo...Ngoja waje wenye Mambo yao tuwasikie...Wapo wapi saa hizi, na wanafanya nini kutoa baridi??? Jamani Mkuje huku...Mnaitwa...
Nyumba zote za wageni zitakuwa zimejaa
 
Yaaani haka kamvua nimeweka miguu ju utasema nna hela 😀😀

Naangalia zangu movie nawaza ningepata na kijikitimoto aah weeee
Hivyo havitoi baridi, kinachotoa baridi ni popo kafanyaje sijui..
 
Nilikua buuzy na movie, baadae nkahamia kucheza PS, lakini badoo hali inagoma ku settle, nkaona niende kule ambakoo moto utapelekwa vyediiiiii.

Niko njiani ndo nakipelekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wa dar bwana, hili suala nalo ni la kulaumu TMA? Mnataka kila muda mpewe uangalizi kama vifaranga vya bata vyenye masundosundo
Tunawalipa mshahara hajawekwa pale wacheze zuma deluxe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…