King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
Tupeni update TMA kupitia radio na tv.
Miungurumo,upepo na wingu la kufa mtu.
Nawasilisha
Miungurumo,upepo na wingu la kufa mtu.
Nawasilisha
Last time tmj haikuonya uwepo wa mvua kubwa then zilipoanza kunyesha tam wakaja na tabiri kuwa ijumaa na jumamosi ya kipindi kile cha maafa zingenyesha mvua za kujutia ila hamna hata tone lilinyesha siku hizo.
kuna watu wanakimbia huko ..hasa wale wa mabondeni!
hawa TMA mimi huwa hata siwaamini!
Hawaaminiki hawa watu.
Nimesikia pia Arusha imepitiwa na kimbunga kikubwa sana leo hii. Mtwara pia hali inaonyesha ndani ya siku mbili au zaidi kidogo tunaweza kupata mvua kubwa sana. Kwa maana hii ni vizuri kwa wakazi wa mabondeni Dar kuchukua tahadhari pia.Tupeni update TMA kupitia radio na tv.
Miungurumo,upepo na wingu la kufa mtu.
Nawasilisha
Nimesikia pia Arusha imepitiwa na kimbunga kikubwa sana leo hii. Mtwara pia hali inaonyesha ndani ya siku mbili au zaidi kidogo tunaweza kupata mvua kubwa sana. Kwa maana hii ni vizuri kwa wakazi wa mabondeni Dar kuchukua tahadhari pia.
kwani huu si msimu wa mvua za masika?
Last time tmj haikuonya uwepo wa mvua kubwa then zilipoanza kunyesha tam wakaja na tabiri kuwa ijumaa na jumamosi ya kipindi kile cha maafa zingenyesha mvua za kujutia ila hamna hata tone lilinyesha siku hizo.
Ndio tunataka watupe taarifa je mvua itanyesha lini wasisubirie mpaka ianze ndio waseme tunataka watoe taarifa leo kwenye vyombo vya habari.
Last time tmj haikuonya uwepo wa mvua kubwa then zilipoanza kunyesha tam wakaja na tabiri kuwa ijumaa na jumamosi ya kipindi kile cha maafa zingenyesha mvua za kujutia ila hamna hata tone lilinyesha siku hizo.
Nimesikia pia Arusha imepitiwa na kimbunga kikubwa sana leo hii. Mtwara pia hali inaonyesha ndani ya siku mbili au zaidi kidogo tunaweza kupata mvua kubwa sana. Kwa maana hii ni vizuri kwa wakazi wa mabondeni Dar kuchukua tahadhari pia.
Ndio tunataka watupe taarifa je mvua itanyesha lini wasisubirie mpaka ianze ndio waseme tunataka watoe taarifa leo kwenye vyombo vya habari.