Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 309
- 741
Jaribuni kilimo wana. Mbona mi mavuno daily nachukua mzigo wangu naenda kubwaga mabibo / ilala / kisutu. Kimyaa
Shambani nina pig farming...life linaenda.
Well Times Have Changed, So Should You.
Siku hizi biashara za uchuuzi hazina hela....mnalost nawaambia. Badili mfumo tu. Unaweza anza humbly.
Nawajua Watu wamefunga maduka (vigoli vyao kariakoo) wamefungua magenge / grocery classic sehem za kishua wana make sana tu.
Mfano ya nn kufungua kiduka cha vifaa vya umeme wakati watu wanaenda kununua vifaa vya umeme kwa big wholesalers...?? Wapo kibao nani anunua bulb buku 3 wakati kuna dealers wanauza bulb 1,500 - 1,700
(i hope people are getting my point)
Ukishindwa yote hayo mchawi udalali tu. 🤣
Shambani nina pig farming...life linaenda.
Well Times Have Changed, So Should You.
Siku hizi biashara za uchuuzi hazina hela....mnalost nawaambia. Badili mfumo tu. Unaweza anza humbly.
Nawajua Watu wamefunga maduka (vigoli vyao kariakoo) wamefungua magenge / grocery classic sehem za kishua wana make sana tu.
Mfano ya nn kufungua kiduka cha vifaa vya umeme wakati watu wanaenda kununua vifaa vya umeme kwa big wholesalers...?? Wapo kibao nani anunua bulb buku 3 wakati kuna dealers wanauza bulb 1,500 - 1,700
(i hope people are getting my point)
Ukishindwa yote hayo mchawi udalali tu. 🤣