Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Break News hali ya znz hivi sasa sio shuari Wafuasi wengi wa cuf wanazidi kuongezeka Bwawani wakiilalamikia Tume kuwa mshindi wa urais apewe haki yake sio zulma
Kwa takuimu za majumuisho tayari Maali Seif anaongoza kwa asilimia 52 ukiliganisha majipo yote ya Pemba na majimbo 3 Unguja. mpaka sasa hivi Malim Seif anaongoza kwa kura za urais kumshinda mpinzani wake Dr Shain lakini katika habari za ndani nikuwa kuna ujumbe rais umekuja kutoka Bara ukiongozwa na vigogo wa ccm kutaka kuisindikiza tume ya uchaguzi Zec wamtangazie Dr Shein kwa asilimia 58. kutangaziwa kwa Dr shein ni kumuweka pabaya Mh Amani kutokana na mchakato wate wa Amani ya Zanzibar na kuelekea serekali ya Umoja wa kitaifa. Pindipo akitangaziwa Dr Shein kuwa mshindi kwavile takumu zote wazanzibar tayari wanazo itarejesha nyuma hali ya halisi ya zanzibar na kuleta mfaraka. Mh Dr Shein tayari ameshapewa tahadhari kubwa na wazee wa Kisiwa cha Pemba kuwa anajijengea mazingira magumu na Uraisi wa kubandikiza utamchukia.
Break News hali ya znz hivi sasa sio shuari Wafuasi wengi wa cuf wanazidi kuongezeka Bwawani wakiilalamikia Tume kuwa mshindi wa urais apewe haki yake sio zulma « MZALENDO.NET
Kwa takuimu za majumuisho tayari Maali Seif anaongoza kwa asilimia 52 ukiliganisha majipo yote ya Pemba na majimbo 3 Unguja. mpaka sasa hivi Malim Seif anaongoza kwa kura za urais kumshinda mpinzani wake Dr Shain lakini katika habari za ndani nikuwa kuna ujumbe rais umekuja kutoka Bara ukiongozwa na vigogo wa ccm kutaka kuisindikiza tume ya uchaguzi Zec wamtangazie Dr Shein kwa asilimia 58. kutangaziwa kwa Dr shein ni kumuweka pabaya Mh Amani kutokana na mchakato wate wa Amani ya Zanzibar na kuelekea serekali ya Umoja wa kitaifa. Pindipo akitangaziwa Dr Shein kuwa mshindi kwavile takumu zote wazanzibar tayari wanazo itarejesha nyuma hali ya halisi ya zanzibar na kuleta mfaraka. Mh Dr Shein tayari ameshapewa tahadhari kubwa na wazee wa Kisiwa cha Pemba kuwa anajijengea mazingira magumu na Uraisi wa kubandikiza utamchukia.
Break News hali ya znz hivi sasa sio shuari Wafuasi wengi wa cuf wanazidi kuongezeka Bwawani wakiilalamikia Tume kuwa mshindi wa urais apewe haki yake sio zulma « MZALENDO.NET