Nchi kama haina serikali! Ndo maana cdm wanaingilia kati kila jambo,kuna ombwe kubwa! Yale mauaji tarime ni kesi nzito lakini mawaziri husika wameishia kutoa majibu mepesi mno! Waziri mkuu sijui yupo likizo,makamu wa raisi ndo kwanza yupo zenji! Yaliyo na yanayotokea tarime hakuna suluhisho? Mbona serikali inazidi kujipalia makaa? Hapa nilipo namachungu ya mgao up to now gizani.Ndio Wasira kawatuma nini?
Hadi kieleweke Mungu yupo pamoja na Umma,atawalinda na kuwasimamia Makamanda wote.
Waliokuwa wanatupa taarifa hivi sasa na wao hawapatikani.Tunajitahidi kupata taarifa kadiri tutakavyoweza.
MUNGU walinde wananchi wote wa Tarime asipotee hata mmoja katika tukio hili.
?hiyo miili inamahusiano gani na waliokamatwa? Akina Mh Lissu wameanza lini kuwaa walinzi wa mortuary?
?hiyo miili inamahusiano gani na waliokamatwa? Akina Mh Lissu wameanza lini kuwaa walinzi wa mortuary?
polisi wanavamia motuary .. kuna albino huko ...!
Waliokuwa wanatupa taarifa hivi sasa na wao hawapatikani.Tunajitahidi kupata taarifa kadiri tutakavyoweza.
MUNGU walinde wananchi wote wa Tarime asipotee hata mmoja katika tukio hili.
mheshimiwa Lissu tupe habari zaidi. Niko Mwanza je tuje huko
Wamechukua maiti kwa nguvu wameondoka nazo wakati wazazi wa marehemu nao wamekamatwa
Majeshi yetu yanatumiwa vibaya tena kisiasa na makamanda wa juu hawawezi kuwa na msimamo mmoja mpaka inatia hasira.kupiga tu raia kila cku!Wasipowaachia huru makamanda wote pamoja na kuruhusu uwanja utumike kesho, basi itisheni maandamano nchi nzima kudai safu yote ya juu police ing'oke.