Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Haya ni maajabu yani polisi wa ccm wanavamia mochwari? wanawakamata wafiwa na waombolezaji? Ninaunga mkono kauli ya raisi wangu halali Dr Slaa tanzania haitatawalika!!! mkweree lazima ang'ooke kabla ya 2015