Hali ni mbaya Muhimbili

@Dr.Chichi amani ya 'kanuni za maumbile'(au Mungu kwa wengine) iwe nawe! Udaktari na kujipendekeza ni kama mafuta na maji,kamwe havichanganyikani....tetea fani yenu imechezewa vya kutosha.
 
Safari hii naona madaktari wameamua na patachimbika ; nasema hivyo kwani mimi leo nilikuwa na appointment pale Moi na nilipofika nikamkuta dakatari wangu tukaamkiana lakini hakunitibu ingawa mie sio mgonjwa wake wa kawaida bali pia baba yake mdogo!! Akaniambia hawezi kunitibu kwani kwakufanya hivyo angekuwa TRAITOR kwa mgomo wao unaoendelea; sasa huyu mkweree sijui anajisikiaje huko DAVOS wakati vilaza wenzie wameshindwa kutatua mgogoro huu!!
 
Mheshimiwa JK yuko DAVOS anakula kuku!!!! Watanzania tunakufa, tunataka nini zaidi ili tulete mabaliko nchi hii? Huu ndo wakati, tuamke tukamsubiri pale airport na wagonjwa wetu. CCM kweli ndio hivi? Nnauye umekomaa kutetea mfumo huu. Watanzania, nawasihi wakati ndio huu!
 
Acha wafe wakome waliambiwa serikali hii ya mapungwani wakabisha..ma dokta hasa wewe dokta chichi gomeni milele..tena ikibidi mpasue hata na thermometer na darubini kabisa

Kukoma na kufa ni kwa wote.Maradhi hayachagui huyu alipigia kura chama gani.
 
Hivi pale lango kuu la kuingia Muhimbili sikuna mapicha ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya kwa miaka hamsini ya uhuru tena yamesindikizwa na kauli mbiu ya "Tumejaribu ,Tumeweza na Tunazidi kusonga mbele" Au mi sioni vizuri? sa matatizo Muhimbili yatakuwa yanatoka wapi? Nadhani madaktari waongo au wametumwa na maadui wa nje.au ni vyombo vya habari. Eti ndugu zangu nyie mnaonaje?
 
Hivi pale lango kuu la kuingia Muhimbili sikuna mapicha ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya kwa miaka hamsini ya uhuru tena yamesindikizwa na kauli mbiu ya "Tumejaribu ,Tumeweza na Tunazidi kusonga mbele" Au mi sioni vizuri? sa matatizo Muhimbili yatakuwa yanatoka wapi? Nadhani madaktari waongo au wametumwa na maadui wa nje.au ni vyombo vya habari. Eti ndugu zangu nyie mnaonaje?
wewe mkorofi!!! una utani uliopitilia!
 
Hivi pale lango kuu la kuingia Muhimbili sikuna mapicha ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya kwa miaka hamsini ya uhuru tena yamesindikizwa na kauli mbiu ya "Tumejaribu ,Tumeweza na Tunazidi kusonga mbele" Au mi sioni vizuri? sa matatizo Muhimbili yatakuwa yanatoka wapi? Nadhani madaktari waongo au wametumwa na maadui wa nje.au ni vyombo vya habari. Eti ndugu zangu nyie mnaonaje?
huu utani sasa umepitilia!!!
 
Acha wafe wakome waliambiwa serikali hii ya mapungwani wakabisha..ma dokta hasa wewe dokta chichi gomeni milele..tena ikibidi mpasue hata na thermometer na darubini kabisa

jaman kuwa na huruma kidogo.wale ni binadamu kama wewe na hawakupenda kuwa ktk ile hali ya kuumwa.sometimes watu wengine huruma hawana kabisa.
 
serikali yenu haitaki kukaa chini na kutusikiliza
na upuuzi ambao nimeuona eti viongozi wanakutana na waandishi wa habari badala ya kukutana na madaktari na wanasema madaktari warudi kazini wanaoteseka ni wananchi wa kawaida, hiyo yote ni kutafuta huruma kutoka kwa wananchi viongozi wetu kweli majuha, kwa nini wasiende kuongea na madaktari wamalizane nao kwanza kwa kuongea nao ana kwa ana
 
Back
Top Bottom