Hali Mbaya ya Mabenki: Mabenki sasa yawataka wenye viwanda kupunguza maombi ya mikopo

Sasa kuna tatizo gani serikali kuhifadhi pesa yake.Niambie ni nchi gani serikali inaweka pesa zake katika benki za biashara.
Kwa Magufuli wote waliozoea vya kunyonga lazima walambe mchanga.
Hizo benki Warekebishe tu cash flows zao ikibidi hata kukopa benki za nje

Kina nani sasa waliozoea vya kunyonga? Mabenki? Au Lowassa na Mbowe?.....fafanua pls
 
Wewe utumie akili kwanza aliye Fanya banki zitegemee hela ya serikali ni CCM hiyo hiyo hivyo auna hoja ya msingi pia elewa kama umevisha nguo za kike ukaachwa kwenye watu wengi utakiwi kuzivua mana utabaki uchi ila utazivaa hadi upate za kubadilisha ndo uzivue jamaa kalivua nguo taifa kabla ya kuandaa za kubadilisha tumebaki uchi

Hili nalo neno......haahaahaa!
 
una aidia kidogo ya masuala ya benki?

ukiweka fixed deposit kwenye benki,benki huwa wanaitumia au laa kukopesha?

lengo la serikali kupigia debe wananchi wasiweke pesa kwenye vibubu ni ili pesa hiyo iende benki ikazunguke.

sasa serikali nayo imeweka pesa kwenye kibubu(benki kuu)

kwani serikali ikiulizia statement ya account zake huwa inakuta pesa pungufu kwamba zimekopeshwa?

hata wewe kaweke milioni 500,benki itakopesha,na ukiangalia salio lako unalikuta vilevile,vitabu vimebalansi.
Kwa hilli la serikali la kuweka pesa zake BOT naiunga mkono serikali kwa asilimia zote.

Hiyo fixed deposit iliyokua inawekwa na wakurugenzi wa mashirika ya umma riba yake ilikua chakula ya hao wakurugenzi na ilikua haiongezi mtaji(pesa) iliyowekwa kama fixed deposit.

kama benk hazina hela zikakope serikalini zilipe riba serikali sio serikali ilipe riba ya hela zake.

Benk za kitanzania zililua zinajiendesha kimagumashi na kiujanja janja kurubuni wakurugenzi wa mashirika ya umma yakewe pesa kwenye benk zao huku wakiwapa rushwa ili wao wapate pesa ya kukopesha watu, sasa benk zitafte pesa kama ni kukopa toka serikalini ili zipate pesa ya kukopesha watu.
 
[HASHTAG]#tutaelewana[/HASHTAG] tu
[HASHTAG]#hatunywimajimwanangu[/HASHTAG]
 
Tumieni Akili basi,

Kwani Bank zilianzishwa ili zitegemee pesa za Serikali kufanyia shughuli zake?

Yaan uanzishe Bank yako halafu utegemee Taasisi za Serikali zi-deposit fedha zake kwenye account ya Bank yako halafu wewe uzitumie hizo hizo pesa kukopesha hata serikali yenyewe! hii haikubaliki.

Bank zijifunze baada ya huu mpito kupita, wasiwe wanategemea kufanya biashara kwa fedha za serikali...
Kuna kiwango cha pesa za kuanzisha Bank, na kiwango cha pesa za kuweka kama dhamana katika Bank kuu ili kulinda amana za wateja, sasa kwa nini Bank ziyumbe? hii ina maana kuwa Bank zilikopesha sana makampuni na taasisi mbalimbali na viwanda mpaka ile mitaji yao ikapungua to the maximum na madeni walikuwa hawakusanyi kabisa, sasa JPM kawabana.

Tuombe Mungu atuweke hai tufike mwezi wa February 2017, kila mtu atashuhudia anguko kuu la uchumi wa Tanzania.
 
Kwa hilli la serikali la kuweka pesa zake BOT naiunga mkono serikali kwa asilimia zote.

Hiyo fixed deposit iliyokua inawekwa na wakurugenzi wa mashirika ya umma riba yake ilikua chakula ya hao wakurugenzi na ilikua haiongezi mtaji(pesa) iliyowekwa kama fixed deposit.

kama benk hazina hela zikakope serikalini zilipe riba serikali sio serikali ilipe riba ya hela zake.

Benk za kitanzania zililua zinajiendesha kimagumashi na kiujanja janja kurubuni wakurugenzi wa mashirika ya umma yakewe pesa kwenye benk zao huku wakiwapa rushwa ili wao wapate pesa ya kukopesha watu, sasa benk zitafte pesa kama ni kukopa toka serikalini ili zipate pesa ya kukopesha watu.
ni suala la kuregulate tu,kwamba mashirika ya umma yaweke pesa kwenye fixed deposit akaunti kwa kibali cha benki kuu,benki kuu ipitie mkataba,ijue faida itakayopatikana,taarifa ya faida itolewe taarifa benki kuu na wizara,taarifa hiyo iwe imesainiwa na benki na shirika basi.

na hela za shirika zilizoko benki ziwe zinatolewa taarifa kila mwezi benki kuu na wizara ya fedha,pia benki kuu ifuatilie kwa.karibu benki zote zinazohifadhi hela ya mashirika ziwe na hesabu nzuri.

kama nyumba paa lake limetoboka huwezi kuvunja mpaka msingi,ita fundi wa paa arekebishe bati
 
Mkuu umeongea facts, watanzania ni watu wa kulialia tu, Bila kuangalia ukweli wa mambo, kwanza kilikuwa na utitiri wa bank ambazo Binafsi sikuona faida zake, mimi mtu wa chini nilikuwa sikopesheki maana nikitaka kukopa ntaitishwa mavitu kibao na riba ni balaa, nikiweka laki hata mwaka hakuna faida yeyote inayoongezeka.
Asante baba Jessca kwa kuirudisha nchi kwenye mstari
Napatwa na wasiwasi nikiona kuna watanzania wana IQ ndogo kiasi hiki. Yaani naogopa.
 
Kwa hilli la serikali la kuweka pesa zake BOT naiunga mkono serikali kwa asilimia zote.

Hiyo fixed deposit iliyokua inawekwa na wakurugenzi wa mashirika ya umma riba yake ilikua chakula ya hao wakurugenzi na ilikua haiongezi mtaji(pesa) iliyowekwa kama fixed deposit.

kama benk hazina hela zikakope serikalini zilipe riba serikali sio serikali ilipe riba ya hela zake.

Benk za kitanzania zililua zinajiendesha kimagumashi na kiujanja janja kurubuni wakurugenzi wa mashirika ya umma yakewe pesa kwenye benk zao huku wakiwapa rushwa ili wao wapate pesa ya kukopesha watu, sasa benk zitafte pesa kama ni kukopa toka serikalini ili zipate pesa ya kukopesha watu.
serikali ya Tanzania ina hela ya kukopesha mabenki ili yafanye biashara?
Hii serikali inayoshindwa kupeleka huduma na elimu na afya?
 
Hali ishakuwa mbaya anaeropoka hapakazi Tu huoni haya?kukosa maarifa nikidonda sugu!!ile ya wastani Wa NNE kwa mmoja naona sahihi kabisa!!!
 
ni suala la kuregulate tu,kwamba mashirika ya umma yaweke pesa kwenye fixed deposit akaunti kwa kibali cha benki kuu,benki kuu ipitie mkataba,ijue faida itakayopatikana,taarifa ya faida itolewe taarifa benki kuu na wizara,taarifa hiyo iwe imesainiwa na benki na shirika basi.

na hela za shirika zilizoko benki ziwe zinatolewa taarifa kila mwezi benki kuu na wizara ya fedha,pia benki kuu ifuatilie kwa.karibu benki zote zinazohifadhi hela ya mashirika ziwe na hesabu nzuri.

kama nyumba paa lake limetoboka huwezi kuvunja mpaka msingi,ita fundi wa paa arekebishe bati

Sibishani na wewe.

Ila kwa sasa hatua za awali za kuchukua ni hizo pesa zote za serikali ziende BOT.

Baada ya hapo ndio utaratibu mwingine uandaliwe. Kwa hili mimi naiunga serikali mkono kwa asilimia zote. Pia hii itasaidia benk zetu kuanza kutafta vyanzo vingine vya pesa hasa kutafta wateja wapya sio kutegemea pesa ya serikali.
 
Kiongozi ukiwa na husda huwezi kufanikiwa hata chembe. Sijui nani atakaelima kwa meno kwa staili hii. Baada miezi sita tu ijayo, hali itakuwa aibu hapa.

Na ubaya wa mdororo wa kifedha ulivyo, kuna hatua ikifika kila utakachokifanya ili kuokoa jahazi ndio kwanza jahazi litakuwa linaingiza maji na bahari kuzidiwa na mawimbi. Let's wait and see.
 
Tumieni Akili basi,

Kwani Bank zilianzishwa ili zitegemee pesa za Serikali kufanyia shughuli zake?

Yaan uanzishe Bank yako halafu utegemee Taasisi za Serikali zi-deposit fedha zake kwenye account ya Bank yako halafu wewe uzitumie hizo hizo pesa kukopesha hata serikali yenyewe! hii haikubaliki.

Bank zijifunze baada ya huu mpito kupita, wasiwe wanategemea kufanya biashara kwa fedha za serikali...
Kuna kiwango cha pesa za kuanzisha Bank, na kiwango cha pesa za kuweka kama dhamana katika Bank kuu ili kulinda amana za wateja, sasa kwa nini Bank ziyumbe? hii ina maana kuwa Bank zilikopesha sana makampuni na taasisi mbalimbali na viwanda mpaka ile mitaji yao ikapungua to the maximum na madeni walikuwa hawakusanyi kabisa, sasa JPM kawabana.

Nakushauri usome jinsi benki za biashara zinavyofanyakazi ya kukopesha kabla ya kuzilaumu kuwa zilikopesha mpaka mitaji yao. Pili tatizo kubwa siyo serekali na taasisi zake kuondoa pesa zao bank per se, bali ni serekali kuamua kutoa hizo fedha almost overnight. Serekali ingepaswa kutoa muda wa kutosha kabla ya kuhamisha fedha zake toka mabenk ya biashara. Hii ingezipa benki muda wa katafuta amana nyingine ndani na nje ya nchi kufidia pengo la fedha zilizohamishwa na serekali. Kwa sasa mabenk yana matatizo makubwa ya liquidity kwa vile siyo rahisi kufidia pengo la zaidi ya Tzs 600 billion zilizohamishiwa BoT kwa kipindi kifupi na wakati huo huo shughuli za biashara zimedorora hata wenye akiba benki wanatoa ili kumudu maisha.
 
Nakushauri usome jinsi benki za biashara zinavyofanyakazi ya kukopesha kabla ya kuzilaumu kuwa zilikopesha mpaka mitaji yao. Pili tatizo kubwa siyo serekali na taasisi zake kuondoa pesa zao bank per se, bali ni serekali kuamua kutoa hizo fedha almost overnight. Serekali ingepaswa kutoa muda wa kutosha kabla ya kuhamisha fedha zake toka mabenk ya biashara. Hii ingezipa benki muda wa katafuta amana nyingine ndani na nje ya nchi kufidia pengo la fedha zilizohamishwa na serekali. Kwa sasa mabenk yana matatizo makubwa ya liquidity kwa vile siyo rahisi kufidia pengo la zaidi ya Tzs 600 billion zilizohamishiwa BoT kwa kipindi kifupi na wakati huo huo shughuli za biashara zimedorora hata wenye akiba benki wanatoa ili kumudu maisha.
Hata mimi nilitaka kusema hivyo, uamuzi wa serikali kuhamisha zaidi ya billion 600 toka bank binafsi kwenda bank kuu umetengeneza black whole ya hela kwenye mabenki mengi. Hilo ndilo limesababisha uchumi kuyumba na bank nyingi kupunguza ukopeshaji.
 
Sibishani na wewe.

Ila kwa sasa hatua za awali za kuchukua ni hizo pesa zote za serikali ziende BOT.

Baada ya hapo ndio utaratibu mwingine uandaliwe. Kwa hili mimi naiunga serikali mkono kwa asilimia zote. Pia hii itasaidia benk zetu kuanza kutafta vyanzo vingine vya pesa hasa kutafta wateja wapya sio kutegemea pesa ya serikali.
Hivi benki wateja wapya mnaotaka wakawatafute ni wepi? Nyie watu mnaijua vema lakini hali ya watanzania ilivyo? Hebu siku moja fanyeni kajiutafiti mjue mzunguko rasmi wa fedha (money changing-hands) wa watanzania ukoje. Hizi fedha ni kweli zilitakiwa zitoke lakini kabla ya kufanya hivi serikali ilipaswa kuimarisha uchumi kwa kuongeza kiwango cha uchumi rasmi kupitia sekta za uzalishaji kwa maana ya kuongeza ajira na kuimarisha biashara ili kujenga uwezo wa watu kutumia taasisi za kifedha.

Sasa ndugu yangu zaidi ya 80% ya watanzania wanategemea jembe la mkono na mvua ya Mwenyezimungu kuzalisha, tena mara moja kwa mwaka. Dar mji mkubwa kibiashara umejaa wauza maji na karanga barabarani, samaki feri, matiki, chapati nk, unatarajia kuna atakeelewa somo la kuweka hela benki? Msiseme tu jamani. Uchumi mgumu, sio mambo ya kukariri kuchanganya alkali na nyongo kupata chumvi na maji ukadhani uchumi pia uaweza kuendeshwa hivyo.
 
Kuna mtu mungu kamnyima maarifa ili yeye na chama waanguke.Kapewa moyo mgumu kama ule wa Farao ili mpango wa mungu wa kumtumia yeye kukiangusha chama chake na yeye mwenyewe utimie.

Kwa kifupi bwana huyu hajui alitendalo na atakuja kushituka when it is already too late.
Acheni sentiments za kipuuzi hapa..kwanzan viwanda gani vinavyoongelewa hapa kwamba vinaambiwa na mabenki vipunguze maombi ya mikopo wanayoomba..tanzania ni consumer country zaidi ya asilimia 90 ya vitu tunatumia kila siku ni vya nje, viwanda gani hivyo mbona hawavitaji..
Learn now to leave a real life not superficial life and dont think that the economy should only meet your demands now as if no one is coming tomorrow, think of the next generation, what is your contribution now to create sustainability..halafu tabia ya kulaumu na kulalama ni ya watu walioshindwa na kamwe hutafaulu chochote if you do not stop this crap behavior, a man is made to change as other things change including when the government policy, rules, regulations do change..toka mmeanza kupost mada humu ni kulaumu tu, dont be foolish..change!!!
 
Tumieni Akili basi,

Kwani Bank zilianzishwa ili zitegemee pesa za Serikali kufanyia shughuli zake?

Yaan uanzishe Bank yako halafu utegemee Taasisi za Serikali zi-deposit fedha zake kwenye account ya Bank yako halafu wewe uzitumie hizo hizo pesa kukopesha hata serikali yenyewe! hii haikubaliki.

Bank zijifunze baada ya huu mpito kupita, wasiwe wanategemea kufanya biashara kwa fedha za serikali...
Kuna kiwango cha pesa za kuanzisha Bank, na kiwango cha pesa za kuweka kama dhamana katika Bank kuu ili kulinda amana za wateja, sasa kwa nini Bank ziyumbe? hii ina maana kuwa Bank zilikopesha sana makampuni na taasisi mbalimbali na viwanda mpaka ile mitaji yao ikapungua to the maximum na madeni walikuwa hawakusanyi kabisa, sasa JPM kawabana.
Una idea nzur bt ni theory tupu.....ambayo haiendani na banking industry ya Tanzania.....kwanza ujue fika watanzania sio walipaji wa marejesho.....ukilijua hilo utaelewa kwanini uwepo wa pesa za serikali kwenye mabenki ulikuwa unaubeba vipi uchumi wetu
 
Hivi benki wateja wapya mnaotaka wakawatafute ni wepi? Nyie watu mnaijua vema lakini hali ya watanzania ilivyo? Hebu siku moja fanyeni kajiutafiti mjue mzunguko rasmi wa fedha (money changing-hands) wa watanzania ukoje. Hizi fedha ni kweli zilitakiwa zitoke lakini kabla ya kufanya hivi serikali ilipaswa kuimarisha uchumi kwa kuongeza kiwango cha uchumi rasmi kupitia sekta za uzalishaji kwa maana ya kuongeza ajira na kuimarisha biashara ili kujenga uwezo wa watu kutumia taasisi za kifedha.

Sasa ndugu yangu zaidi ya 80% ya watanzania wanategemea jembe la mkono na mvua ya Mwenyezimungu kuzalisha, tena mara moja kwa mwaka. Dar mji mkubwa kibiashara umejaa wauza maji na karanga barabarani, samaki feri, matiki, chapati nk, unatarajia kuna atakeelewa somo la kuweka hela benki? Msiseme tu jamani. Uchumi mgumu, sio mambo ya kukariri kuchanganya alkali na nyongo kupata chumvi na maji ukadhani uchumi pia uaweza kuendeshwa hivyo.
Kuweka pesa benki si lazima uwe tajiri au uwe na ziada ya pesa..ni kazi ya mabenki kuelimisha watu faida ya kuweka pesa benki, wameshindwa waache wafunge waje wanaoweza kuhamasisha hao wakulima faida za kuweka pesa benki...
 
Kuweka pesa benki si lazima uwe tajiri au uwe na ziada ya pesa..ni kazi ya mabenki kuelimisha watu faida ya kuweka pesa benki, wameshindwa waache wafunge waje wanaoweza kuhamasisha hao wakulima faida za kuweka pesa benki...
Soma uelewe sio ujibu tu. Si lazima ujibu. Wapi nimeandika neno "tajiri" kwenye posti yangu?
 
Hivi benki wateja wapya mnaotaka wakawatafute ni wepi? Nyie watu mnaijua vema lakini hali ya watanzania ilivyo? Hebu siku moja fanyeni kajiutafiti mjue mzunguko rasmi wa fedha (money changing-hands) wa watanzania ukoje. Hizi fedha ni kweli zilitakiwa zitoke lakini kabla ya kufanya hivi serikali ilipaswa kuimarisha uchumi kwa kuongeza kiwango cha uchumi rasmi kupitia sekta za uzalishaji kwa maana ya kuongeza ajira na kuimarisha biashara ili kujenga uwezo wa watu kutumia taasisi za kifedha.

Sasa ndugu yangu zaidi ya 80% ya watanzania wanategemea jembe la mkono na mvua ya Mwenyezimungu kuzalisha, tena mara moja kwa mwaka. Dar mji mkubwa kibiashara umejaa wauza maji na karanga barabarani, samaki feri, matiki, chapati nk, unatarajia kuna atakeelewa somo la kuweka hela benki? Msiseme tu jamani. Uchumi mgumu, sio mambo ya kukariri kuchanganya alkali na nyongo kupata chumvi na maji ukadhani uchumi pia uaweza kuendeshwa hivyo.
kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom