Hali mbaya ya hewa Zanzibar

Hali mbaya ya hewa Zanzibar

Mawasiliano yamekatika ghafla.
Nikipata tena nitarudi,siskii chochote toka kwa tbc hadi sasa.
 
Du inaonekana hali si shwari. pitisha mbali hii kitu maana Tz na Zenj kwenyewe hawawezi lolote kuhusu maafa, kaputi

Mola aepushilie mbali. Mimi nimeshuhudia hii hali usiombee hata kwa mwenzio. Tuendelee na kuomba.
 
nadhani walioanzisha jukwaa la habari mchanganyiko walikuwa wanalenga issue za aina hii pia

Ungejifanya hujaiona...........wewe umeshasoma mada ngapi kule mchanganyiko tangia asubuh hujaenda. Pia ungekanusha kuwa mawimbi hamna ningekuelewa. Tatizo ni position tu.
 
mkuu nawaheshimu sana Premium members kama wewe, habari muhimu sana lakini wrong destination, nahisi kama hili ni jukwaa la siasa vile? au mie nimeji-mix?

kwakua natumia sim huwa sijali JUKWAA ishu ni kupata taarifa
 
Tornado ni upepo wa kuzunguka, na unaweza
kubeba kitu chochote ukarusha mbali, na unaweza kuvunja manyumba
na kubeba magari kuzirusha... Pia ni hatari kwa watu wapesi ...
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kama vipi pandeni mitumbwi fasta mje huku Tanganyika. Hiyo sumami acha ikipoteze tu hiki kisiwa maana akina faida. Tubaki na nchi moja.
 
Hali ya Bahari ya hindi,Nungwi Huko Zanzibar ni tete kuna
mawimbi makali yanayo semekana ni Tornado's....
Tunaendelea fuatilia taarifa kamili inakuja



Mkuu hii kitu ikitokea kwenye Bahari ya hindi huwa inaitwa "Cyclone" na hizo Tornado huwa zinatokea nchi kavu na si baharini. Nilitaka kuweka tu rekodi vizuri
 
Siwapendi wazenji kuliko hata muuaji wa albino! Let them die
Chuki na husuda zinakusumbua kijana! Lazima utakuwa umepungukiwa na akili otherwise huwezi kuwachukia wazenj mpaka ukawaombea majanga! Bahati mbaya huna uwezo wa kufanya lolote juu ya uwepo wao katika mgongo wa ardhi! Utakufa na CHUKI, WIVU na CHOYO chako! Otherwise fikiria kauli unazozitoa kwenye jamiii!
GO TO HELL!
 
Siwapendi wazenji kuliko hata muuaji wa albino! Let them die

quote_icon.png
By Ta Muganyizi
Aipeleke wapi vile........kwenye complaints na congrats ili alaumu mawimbi au

Kama vipi pandeni mitumbwi fasta mje huku Tanganyika. Hiyo sumami acha ikipoteze tu hiki kisiwa maana akina faida. Tubaki na nchi moja.

Tofauti yenu na Ku klux kan ni rangi tu ya ngozi.. Vinginevyo akili na matendo yenu yanafanania ku klux klan..!
 
Chuki na husuda zinakusumbua kijana! Lazima utakuwa umepungukiwa na akili otherwise huwezi kuwachukia wazenj mpaka ukawaombea majanga! Bahati mbaya huna uwezo wa kufanya lolote juu ya uwepo wao katika mgongo wa ardhi! Utakufa na CHUKI, WIVU na CHOYO chako! Otherwise fikiria kauli unazozitoa kwenye jamiii!
GO TO HELL!
Lazima wewe utakuwa unafuga majini, si bure! Nawachukia wazenji kuliko hata muuaji wa albino.
 
Hali ya Bahari ya hindi,Nungwi Huko Zanzibar ni tete kuna
mawimbi makali yanayo semekana ni Tornado's....
Tunaendelea fuatilia taarifa kamili inakuja

534040_283405081745442_100002278567469_607293_1664141009_n.jpg
Speaker. Asante kwa taarifa.
Ila mzee tornado sio wimbi, ni kimbunga....violent rotating column of air.....tornado ni tofauti na tropical storm-hurricane--typhoon, ambazo ndizo zinaangukia katika mawimbi makali.
Sasa sijui ni kipi kati ya hivi ndivyo vinafanya hali ya bahari hapo Nungwi, Zenjbar kuwa tete. Maana madhara ya kimbunga na mawimbi makali yanatofautiana eti.
 
mbona watu wengine mmekuwa na roho za ajabu kiasi hiki, kweli mtu na akili zako timamu unakaa unamuombea mwenzio afe, dah si kitu kizuri ata kama watu hampendani.

Mimi nilivyo muelewa amesema Wazanzibar wafe, sina uhakika kama ni wenzi wake.....lol
 
we mnyisanzu wawap? Hupend ndugu zako mabi yako mulomo angaitako la ndogwe. Natumai umensoma.
 
Back
Top Bottom