Hali mbaya Atlas primary school Madale

Hali mbaya Atlas primary school Madale

kisingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
516
Reaction score
377
Imenibidi nieleze humu hali mbaya iliyopo Atlas Primary School Madale Dar es Salaam.

1. Mabweni ya wanafunzi hayaisha kujengwa japo watoto wanalala na kuishi humo. Mabweni ni ghorofa lakini hayana milango mashariki na magharibi mwisho mean mabweni hali inayohatarisha maisha ya watoto has a wanao kaa ghorofa ya nne na tatu. Kati ya ma bweni ya wavulana na wasichana Kuna ngazi hazina vizuizi hii ni hatari.

2.Watoto hulazimika kuchota maji chini tanki la nje hadi juu ghorofa ya pili. tatu a nne mara tatu au zaidi kwa siku kwa kuwa hakuna matanki ya juu. Hali hii inawatesa watoto. Maji salama inawabidi kuogea geli badala ya sabuni.

3,Mfumo wa maji taka si mzuri mafuriko hadi karibu ya jengo la utawala hatari kwa afya.

4.Chumba kimoja cha darasa wanafunzi mia hadi mia na hamsini.

Taasisi husika zifuatilie na kutatua matatizo haya tusije juta baadae.
 
Aiseeee

Pesa zinafanya wamiliki wa shule wasijali mengi.
Ila nashangaa hao watoto hawana wazazi wawapendao kweli kweli na kuwasomesha hapo katika khali hiyo au hawaambiwi na au wakiambiwa wanafunga masikio..

Ni kulalamika wakibisha mtu unaondoa watoto kupeleka kwingine..

Bora hata za Kanumba.. ningefurahi kama zingerudi kuwa vile zilikuwa enzi hizooo za zama za kale.
 
Imenibidi nieleze humu hali Mbaya iliyopo Atlas Primary School Madale Dar es salaam.
1. Mabweni ya wanafunzi hayaisha kujengwa japo watoto wanalala na kuishi humo. Mabweni ni ghorofa lakini hayana milango mashariki na magharibi mwisho mean mabweni Hali inayohatarisha maisha ya watoto has a wanao kaa ghorofa ya nne na tatu. Kati ya m as bweni ya wavulana na wasichana Kuna ngazi hazina vizuizi hii ni hatari.
2.Watoto hulazimika kuchota maji chini tank la nje Hadi juu ghorofa ya pili. tatu a nne mara tatu au zaidi kwa siku kwa kuwa hakuna matank ya juu. Hali hii inawatesa watoto. Maji salama inawabidi kuogea gel badala ya sabuni.
3,Mfumo wa maji taka si mzuri mafuriko hadi karibu ya jengo la utawala hatari kwa afya..
4.Chumba kimoja cha darasa wanafunzi mia hadi mia na hamsini.
Taasisi husika zifuatilie na kutatua matatizo haya tusije juta baadaye
hii shule nasikia watu wanaisifia sana sana...nilikuwa nawaza nimpeleke mwanangu hapo sasa naona kama unataka kunikatisha tamaa...ila nasikia academic wako vizuri...
 
Wizara ya elimu hutoa vibali vya shule baada ya kukidhi vigezo. Nenda wizarani kahoji hivyo unavyolalamikia hapa
 
Mimi nimemtoa was kwangu kwani hao waliobaki siyo watoto. Wizara ni watu na wengine shule hizi wana husika. Mimi nimeona Kama mzalendo nitoe tahadhari Kama nimekukera pole
 
Imenibidi nieleze humu hali Mbaya iliyopo Atlas Primary School Madale Dar es salaam.
1. Mabweni ya wanafunzi hayaisha kujengwa japo watoto wanalala na kuishi humo. Mabweni ni ghorofa lakini hayana milango mashariki na magharibi mwisho mean mabweni Hali inayohatarisha maisha ya watoto has a wanao kaa ghorofa ya nne na tatu. Kati ya m as bweni ya wavulana na wasichana Kuna ngazi hazina vizuizi hii ni hatari.
2.Watoto hulazimika kuchota maji chini tank la nje Hadi juu ghorofa ya pili. tatu a nne mara tatu au zaidi kwa siku kwa kuwa hakuna matank ya juu. Hali hii inawatesa watoto. Maji salama inawabidi kuogea gel badala ya sabuni.
3,Mfumo wa maji taka si mzuri mafuriko hadi karibu ya jengo la utawala hatari kwa afya..
4.Chumba kimoja cha darasa wanafunzi mia hadi mia na hamsini.
Taasisi husika zifuatilie na kutatua matatizo haya tusije juta baadaye
mabweni shule ya msingi! Mzazi unaondoka mtoto amelala, unarudi mtoto amesharudi kutoka shule na amelala. inabaki kuonana 'weekends', nayo huonani na mwanao kisa yupo 'boarding'. malezi ulimwachia house girl na sasa matron/patron! Kizazi kijacho kitachapa bakora wazazi wao maana anakuonaona tu na malezi anapewa na watu wasiohusika saana kimalezi! Ukimletea atakurudi maana hamfahamiani vyema kimzazi na mtoto!
 
Pamoja na hivyo huyo bwana hawalipagi walimu. Unakuta wanafanya miezi mingi bila kulipwa kisingizio eti wanajenga jengo.
Hilo la kutolipa waalimu nimeliskia kwa mdau mmoja anafanya kazi hapo, naskia anapendelea zaidi wakenya kuliko wazawa. wizara husika fuatilieni swala hili, kama mnaweza kuwafungia wasanii kwa kuvaa uchi ina maana hili hamlioni? Mnataka watoto wafe ndo mchukue hatua?
 
hivi mtoto wa primary boarding anaenda fanya nini?

bond na wazazi wake anaijenga saa ngapi?

hamjifunzi IST wazungu wanasomesha day watoto wao.
Kaka mkubwa hayajakukuta! Mshukuru Mungu wewe unakaa na watoto wako unajenga bond.
 
Aiseeee

Pesa zinafanya wamiliki wa shule wasijali mengi.
Ila nashangaa hao watoto hawana wazazi wawapendao kweli kweli na kuwasomesha hapo katika khali hiyo au hawaambiwi na au wakiambiwa wanafunga masikio..

Ni kulalamika wakibisha mtu unaondoa watoto kupeleka kwingine..

Bora hata za Kanumba.. ningefurahi kama zingerudi kuwa vile zilikuwa enzi hizooo za zama za kale.
kanumba au kayumba?
 
uri ni kuuutafuta uongozi na kueleza hizi kero na siyo kuwachafua aiseee
 
hivi mtoto wa primary boarding anaenda fanya nini?

bond na wazazi wake anaijenga saa ngapi?

hamjifunzi IST wazungu wanasomesha day watoto wao.
Mtoto wa Kizungu na Mtoto wa Kibantu, tofauti!
 
Back
Top Bottom