africansongs
Member
- Jan 5, 2018
- 83
- 225
Habarini wadau.
Huku dodoma ni hatari.
Yaani siku hizi ukitoka out, wanaume wanavaa suruali za kubana na wengine kuvaa mlegezo kama wanaume wa kinondoni. Ukiulizia vipi hizi tabia, unaambia chaklua hao.
Sasa wakilewa wanakata mauno balaa, wengine mpaka wanalia waondoke na mtu.
Huku dodoma kwakweli hali si shwari.
Huku dodoma ni hatari.
Yaani siku hizi ukitoka out, wanaume wanavaa suruali za kubana na wengine kuvaa mlegezo kama wanaume wa kinondoni. Ukiulizia vipi hizi tabia, unaambia chaklua hao.
Sasa wakilewa wanakata mauno balaa, wengine mpaka wanalia waondoke na mtu.
Huku dodoma kwakweli hali si shwari.